mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Mbona si marekani ama uingereza?? The global leaders wenye kusema
Kama raisi wako ni muuaji wacha excuse pambana nae. Hizo habari zote ulizokariri hapo zinaonyesha jinsi watanzania mlivo limbukeni. Hamjui haki zenu. Wakenya waweza andamana kila siku hadi haki ipatikane si kuamini anachokifanya mtu mmoja. Nina uhakika hata nyie wenyewe mnaogopa kuongelea hayo maneno ya Magu kuwamaliza wapinzani kinyama msijipate pia nyinyi mmealikwa kwenye kalamu ile. Same case na wenye forum hii. Nyie ni waoga na wazembe kimatendo na kiakili.
muuaji kamuua nani wewe mbona unahamisha magoli ya huu uzi??magu kamalizaje wapinzani!!!hamna upinzani tz au unaandika kwa hisia za kimapenzi humu??
hakuna mtu anamuogopa magufuli wewe labda nyie wakenya.tofauti ya wakenya na watz ni moja tu nayo uielewe leo,mtz hahitaji siasa cheap kama ya kenya maana hajakata tamaa na maisha,kila fulsa ipo hapa.huwezi pata mteja huku ukiitisha maandamano hata ya kupinga AIDs.