Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii ndio faida ya kufanana na mtanzania diamond platnumz.

hatimaye kijana mkenya anayefanana kwa baadhi ya vitu na diamond platnumz ameshatoboa kimaisha kwa ku-sign deal na kampuni moja pale nairobi.

bongezi kwa comedian mkenya eric omond kwa kum-promote kijana huyu. otherwise angekuwa anaendelea kuendesha bodaboda ushago kwao.

5d139a5089463b7e9ab2f0d9cb93d0ed.jpg
b8decbdae8bd1defb7e523a101271318.jpg
e75c804a4eb93000dc494084bcd5ba2f.jpg


NB:
kama kuna watz wanafanana na macebrity wa kikenya basi wajue kuwa hawana bahati na hawatafika popote sababu macebrity wengi wa kenya hawana mvuto.
Mbona kakakaa kama mvuta bangi,huyo namtabiria kifo cha mende kabisa bora afanye ukora cbd
 
Mzee kadoda11, 2020 tukiongea mambo na nuclear energy, charging stations ya electric cars, MRT, space exploration (launching satellite) nitakubali lakini tukiongea kuzindua flyover nitakataa.
Ni kama juzi mkituaibisha ati mna launch lift.
BptR55IIMAAhe39.jpg:small

14516716992_ef8e1ba887_b.jpg

14331208029_ab74ae3cf7_b.jpg

Kwani hamchoki kujiaibisha?



lol......ni urimu
 
70+45flrs si mchezo foundation inaanza this year...the biggest construction company in the world ndo wanafanya huu mradi tungoje 2020
Biggest what hahaha kwahyo Tangu mwaka 2014 mnachimba tu shimo.....
Meanwhile mwaka huu Anga la Dar litazidi kua mwiba ...
Brt phase 2 nayo inaanza mwaka huu bila kusahau Highway moja matata kabisa. ..sasa tuone nani msema kweli
 
70+45flrs si mchezo foundation inaanza this year...the biggest construction company in the world ndo wanafanya huu mradi tungoje 2020
Biggest what hahaha kwahyo Tangu mwaka 2014 mnachimba tu shimo.....
Meanwhile mwaka huu Anga la Dar litazidi kua mwiba ...
Brt phase 2 nayo inaanza mwaka huu bila kusahau Highway moja matata kabisa. ..sasa tuone nani msema kweli
 
nilikuwa nai- address picha hii hapa chini.

a13c69367a34293f06e1a147777f1b9b.jpg


apart from a small city pond around uhuru park grounds , nairobi has no large size pond as it's seen above,unless they name it here.
that photo is fake, photoshop at work.
That is a small dam IMO, thats the dam pale uhuru park and it is a few acres in size
 
That is a small dam IMO, thats the dam pale uhuru park and it is a few acres in size
you sound very stupid...FYI i'm very familiar with uhuru park, i have been there many times.

i'm one % sure that is photoshop,uhuru park has no large size pond with heavy forest.

this is the uhuru park i know.


20e4d9cded4ae2734d5fa7e0acba413e.jpg
a23ac9e35fbbdc79a37162ef24d00c5b.jpg
478b75aea37bbfdb248d2567fe63e14b.jpg
6c135c9ba6269b9d6b323aa9caa79d5b.jpg
be3a5c2ffc28bda5572eb8a96d41cd54.jpg
 
Hahahah, Eti mwaka 1990, KCB tower hiyo hapo kulia , Britam ndio inanyanyuka hapo katikati na UAP mwisho kabisa kushoto . Hizo nazo mlijenga 1990? Britam yenyewe bado hamjahamia. kitu mbashara miaka

f85e917d747b27a0ae91bd1b2604b60c.jpg
Daah! Hizo towers ni wewe pekee unaziona? Hata kama waziona mbona hujui mahali KCB na UAP ziko?
 
you sound very stupid...FYI i'm very familiar with uhuru park, i have been there for many times.

i'm one % sure that is photoshop,uhuru park has no large size pond with heavy forest.

this is the uhuru park i know.


20e4d9cded4ae2734d5fa7e0acba413e.jpg
a23ac9e35fbbdc79a37162ef24d00c5b.jpg
478b75aea37bbfdb248d2567fe63e14b.jpg
6c135c9ba6269b9d6b323aa9caa79d5b.jpg
be3a5c2ffc28bda5572eb8a96d41cd54.jpg


leta park za darislum
 
Hahahah, Eti mwaka 1990, KCB tower hiyo hapo kulia , Britam ndio inanyanyuka hapo katikati na UAP mwisho kabisa kushoto . Hizo nazo mlijenga 1990? Britam yenyewe bado hamjahamia. kitu mbashara miaka

f85e917d747b27a0ae91bd1b2604b60c.jpg
Daah! Hizo towers ni wewe pekee unaziona? Hata kama waziona mbona hujui mahali KCB na UAP ziko?
 
Back
Top Bottom