Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

encanto_africano_a_la_orilla_del_mar_964_940x704.jpg
Screenshot_2018-02-13-19-31-02-1.png
Screenshot_2018-02-15-20-54-22-1.png
Screenshot_2018-02-13-19-02-54-1-1.png
lazima tukubali tu kuwa dar es salaam inabadilika kila siku.
 
Top 10 strongest military countries in
Africa
1. Egypt
2. Algeria
3. Ethiopia
4. SA
5. Nigeria
6. Kenya
7. Morocco
8. Tunisia
9. Angola
10. Libya
Ww unatakia ujifinze kitu, nchi nyingi zilizotokea kwenye socialism huwez kuzijua kirahisi mambo yake kiundani, hebu nambie nani alijua kama north korea yuko vzr kijeshi nani alijua, so tanzania ina siri kubwa sana ndio maana hata nchi tumejenga kimya kimya sana mmekuja kushtuka mabadiliko makubwa sana munaanza kutoa kamasi midomoni
 
hivi hilo bwawa hapo haiwezi supply maji nairobi au imewekewa kwa ajiri ya kupigia picha???
hakuna bwawa pale, ni mechezo tu ambayo inafanywa kwa kutumia software za graphics design kama photoshop n.k.

nairobi ingekuwa na waterbody yenye ukubwa namna ile dunia yote ingejua.
 
hakuna bwawa pale, ni mechezo tu ambayo inafanywa kwa kutumia software za graphics design kama photoshop n.k.

nairobi ingekuwa na waterbody yenye ukubwa namna ile dunia yote ingejua.
We kumbe hamna bwawa pale Uhuru park basi sitakuja mwamini mkenya
 
We kumbe hamna bwawa pale Uhuru park basi sitakuja mwamini mkenya
Unaongea na mtu yupo huko turkana hajawahi hata fika Nairobi ..anaelewa nini unadhani?.. Save your breath my brother. and Enjoy Tanzania ...BARDIIIIIII. 🙂
 
Unaongea na mtu yupo huko turkana hajawahi hata fika Nairobi ..anaelewa nini unadhani?.. Save your breath my brother. and Enjoy Tanzania ...BARDIIIIIII. 🙂

nilikuwa nai- address picha hii hapa chini.

a13c69367a34293f06e1a147777f1b9b.jpg


apart from a small city pond around uhuru park grounds , nairobi has no large size pond as it's seen above,unless they name it here.
that photo is fake, photoshop at work.
 
Back
Top Bottom