Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
ooooh kumbe anaitwa legelegeYule aliye change route ya oil pipe line
ooooh kumbe anaitwa legelegeYule aliye change route ya oil pipe line
your cabinet secretary for tourism,najib balala, cares a lot about tanzania.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ila kadoda nibaada ya kufahamu kuwa jamaa ana miaka karibia 60 inanibidi nimheshimu...yule ni senior

Anaitwa au aliwaita kdf Legelege Buda vipi mbona unachanganya mamboooooh kumbe anaitwa legelege
jamaa wacha usengenyaji bas...umenifata fata kuhusu huyo jamaa...vipi wewe...una interest naye au?😀😀😀😀Ila kadoda ni![]()
![]()
nilikuuliza legelege ndio mnyama yupi ukanijibu kuwa ni yule aliye badili mwendo wa pipeline...ama naota?Anaitwa au aliwaita kdf Legelege Buda vipi mbona unachanganya mambo
kwan nyie mlitumwa mvamie somalia??😛😀😀sasa mmejibana kule darisalam kama viberiti wakati wanajeshi wetu wapo battle field...huwezi ukajua utamu au ukali wa mlo kabla ya kuonja...waleteni hao wenu tuone kama watamaliza alshabaab
ni uzembe wako kutochangamkia fursa mbalimbali tz, wenzenu wapo huku wana ng'angana katika secta mbalimbali hata kurudi kenya hawataki.hahahaha...sawa mzee ila huwa najiuliza nairobi uliishi kwanini kama si kutoroka umaskini uliopo tanzania...wewe umeishi nairobi sio? nina uhakika nairobi imechangia kwa njia moja au jingine kwa ufanisi wako wa leo...mfano hakuna mkenya aliye hapa aliyesema kuwa ameishi bongo hata siku moja...
meanwhile diamond platnumz is about to open/launch a wasafi music management office in nairobi.
this is the only opportunity for all the young talented artist especially the "ignored ones"
to be recognized.
tell your talented brother or sister that a tanzanian boy diamond platnumz is coming to "help kenyan music to grow".
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
BTW is there any kenyan artist who has an office outside kenya?... or has an office in tanzania?.
and don't tell me about lupita nyongo, she is not staying in kenya![]()
![]()
![]()
NB:
jay najua una hustle hapo nairobi bila kuwa na job ya kueleweka.
nitazungumza na diamond aniachiye mimi jukumu la kumtafuta kijana mkenya awe head supervisor wa WCB office in nairobi. it could be you, please send your CV via my inbox. i'm not joking in this. serious talk.
kinachowaweka kule pengine ni warembo tu...ila Tanzania haiwezi kuwa na fursa zaidi ya Kenya katika nyanja za biashara...tayari tunaongoza katika biashara ukanda huu...na nimkuuliza kilichokuleta kenya ni nini? mbona unakwepa swali langu?ni uzembe wako kutochangamkia fursa mbalimbali tz, wenzenu wapo huku wana ng'angana katika secta mbalimbali hata kurudi kenya hawataki.
Guys for your infor;
The thread below is the longest thread on Nairaland at Pg 1610 and counting..
Kenya Is Ahead of Nigeria In All Aspect (Fact Don't Lie) - Politics - Nigeria
The thread below is the most Viewed on Nairaland at 1.3 Million Views.
It was the first on Naira to cross the 1M views
Nairobi Photos (kenya): A Beautiful East African City - Travel - Nigeria
Mind you Nairaland has 1.9 million members and 4Million threads/topics..
Hapa JF I believe this is one of the longest thread if not the longest.
Kenya is special niggas.
nataka nikupe assignment sababu nikama nazungumza na ukuta...nenda ukafanye research kuhusu AMISOM...jibu lako utalipata hapo crystal clearkwan nyie mlitumwa mvamie somalia??😛😀😀
baada ya kufahamu kuwa jamaa ana miaka karibia 60 inanibidi nimheshimu...yule ni senior

Nimekusoma Buda Legelege maana yake ni Lazynilikuuliza legelege ndio mnyama yupi ukanijibu kuwa ni yule aliye badili mwendo wa pipeline...ama naota?
oooh sasa Museven ni legelege au?Nimekusoma Buda Legelege maana yake ni Lazy
Ndiyo maana tunawaita rojorojo nyie ama Mmelegea sana mnaogopa kuchinjwa vichwa mwana jeshi yeyote ni risk ndiyo maana wanakula kiapo.....bro kule wanachinja watu vichwa live mbele ya wananchi kana kwamba ni kuku....waleteni tu hao wanajshi tuone watakachofanya...sio kwamba tumshindwa na kazi ila kazi pia ni ngumu...alshabaab is a big threat...juzi tu waliwauawa wanajeshi wa Marekani
but tumewanyorosha kwa utalii...mpaka mumeamua mzungumze kwenye media.That's how open with market analysis Kenya is. Always out to better ourselves!

Museven alisema kenya defence force ni Lazy that is what it meansoooh sasa Museven ni legelege au?
ooooh naam nimekushika sasa....Museven alisema kenya defence force ni Lazy that is what it means
yaani mnasubiri kutunyorosha katika utalii 2013??? na hata hivyo ni baada ya swala la ugaidi...kwani mlirogwa nyie au? sababu mna vivutio chungu nzima...yaani nammshukuru sana Magu....angalau amewafufua kwani mlikuwa katika usingizi wa pono wakati wa JK na BMbut tumewanyorosha kwa utalii...mpaka mumeamua mzungumze kwenye media.
waswahili "mficha uchi hazai".
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()