Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,598
- 15,704
Ni kweli Nairobi ina slum zaidi ya moja oka Dar uote ni slum. that's the difference. Google earth doesn't lieUnafikiri hatujui kuna slum zaidi ya moja Nairobi.
Ni kweli Nairobi ina slum zaidi ya moja oka Dar uote ni slum. that's the difference. Google earth doesn't lieUnafikiri hatujui kuna slum zaidi ya moja Nairobi.
Lakini Angola GDP yake ni $150B, hapo ndiyo ujue GDP haina maana kama uchumi sio Inclusive kama ulivyo uchumi wa Kenya, wachache watafaidi, walio wengi wanaendelea kuimba GDP na kuishi katika slums.70 percent angola wanaishi ktk umaskini....richest woman ana net worth zaidi ya 3 billion...danganya mwingine..sio mkenya bro
H H ama kweli kichapo kimeingia mpaka kwenye medulla oblongata sio kwa povu hili.
Hahaha kadoda11 more syringes please keep injecting

South Sudan peace efforts are led by the Kenyan army...Somali kama si KDF wangekuwa wanatawaliwa na rais wa alshabaab hivi leo....ndio hio influence ninayozungumzia...wakati uhuru alipotoa jeshi sudan kusini, UN ilirudi kumbembeleza sababu inajua umuhimu wa jeshi la Kenya kule Sudan...haya twende sasa mko na influence gani kijeshi hata kiraia inayowashinda hapo somalia??
Sikuelewi, atinini?
Wakati KDF inaingia Somalia, Uganda walikuwa wapo Mogadishu walishaikomba, Kenya mlikomboa mji wa Kisumayu pekee, acha kutudanganya jombaaSouth Sudan peace efforts are led by the Kenyan army...Somali kama si KDF wangekuwa wanatawaliwa na rais wa alshabaab hivi leo....ndio hio influence ninayozungumzia...wakati uhuru alipotoa jeshi sudan kusini, UN ilirudi kumbembeleza sababu inajua umuhimu wa jeshi la Kenya kule Sudan...
bro zungunza kitu ukiwa na fact nimekuomba fact kua 70% wanaushi kwenye umaskini angola siulete kwann porojo😀😀😀😀😀akili za chura hizi...angola haioni hata rwanda kwa maisha bora....
cha kuskitisha somalia na south sudan munakufa kama kuku😀😀😀😀😀 sasa ikiwa KDF wanauliwa kwenye ardhi yenu je kwa watu inakuaje????South Sudan peace efforts are led by the Kenyan army...Somali kama si KDF wangekuwa wanatawaliwa na rais wa alshabaab hivi leo....ndio hio influence ninayozungumzia...wakati uhuru alipotoa jeshi sudan kusini, UN ilirudi kumbembeleza sababu inajua umuhimu wa jeshi la Kenya kule Sudan...
achana na kujadili umri wangu, it's true i'm in 50s.hiyo haina ubishi.wacha diamond ajiendeleze...ingawa siskizi nyimbo zake, namkubali kwa jitihada zake...kujinasua toka tandale sio mchezo...haswaa kwa umri mdogo wake....wengine ninaowajua wa miaka 50 na zaidi bado wanapambana na watoto mitandaoni😀😀😀😀

ukibisha nakukaribishabro zungunza kitu ukiwa na fact nimekuomba fact kua 70% wanaushi kwenye umaskini angola siulete kwann porojo😀😀😀😀😀
nina job tayari kisha sina interest na music industry...ila asanteachana na kujadili umri wangu, it's true i'm in 50s.hiyo haina ubishi.
wewe "tumana" cv zako kwa inbox yangu nikupatie job ya u-chief supervisor wa WCB office in kenya.
najua maisha ya u-jobless yanakupa stress sana, pia najua tangu ulipo maliza college/university miaka sita iliyopita mpaka hii leo unakaribia umri wa miaka 30 hujawahi pata ajira yenye hadhi nzuri.
kenya fursa za kujiajiri ni finyu sana.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wanajeshi wa tz walipouawa kama kuku kule congo ulikuwa wapi?cha kuskitisha somalia na south sudan munakufa kama kuku😀😀😀😀😀 sasa ikiwa KDF wanauliwa kwenye ardhi yenu je kwa watu inakuaje????
hio link ya mwaka gani???ukibisha nakukaribisha
View attachment 696179
International Fund for Agricultural Development - ifad.org
nadra sana bro sio kama nyie munakufa kama kuku 😀😀😀😀😀wanajeshi wa tz walipouawa kama kuku kule congo ulikuwa wapi?
Tanzania waliuliwa 15, Kenya 600wanajeshi wa tz walipouawa kama kuku kule congo ulikuwa wapi?
