mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Failed state ni wewe.. Njaa 78% GDP 49%????
Who cursed you
prove this.
Failed state ni wewe.. Njaa 78% GDP 49%????
Who cursed you
Hebu tuletee hio link kua dar ni 9 na nairobi ni 40, am waiting😀😀😀😀😀haha 9 billion Gdp Dar to Nairobis 40 billion Shame on you....go compete with msa
Hehehe mumefika 80 sasa😀😀😀😀MY
Go ask your grandma that.....kenya gdp 80 b tz 51 billion ....
This guys love kenyan news.. They can't wait for the next bad news....
akili za kima hizi...hujawahi skia military power and influence?unaona sasa ulivyo andazi,hamna sehemu nimedai influential ya kenya iwe kwa kutumia jeshi.
kwanza hiyo siyo tafsiri yake,tafsiri yake ni ushawishi,unashawishi kwa kutumia jeshi kiaje.hapo utakuwa umelazimisha.
turudi kwenye ushawishi wa kenya sasa,ina ushawishi upi kwa majirani???
gdp inatangazwa kivipi? pengine nikuulize sababu una akili za kima.... gdp inatangazwa quarterly...that is after evry 4 monthsHehehe mumefika 80 sasa😀😀😀😀
Alafu utsikia eti dar kila mtu anamiliki nyumba. Hizo ni nyumba au changaduo? najua watataja kibera but kibera ni sehemu ngogo sana kwa Nairobi. Comparing Nairobi with dar is a waste of time
Kenya ranked as 'failed state'Failed state ni wewe.. Njaa 78% GDP 49%????
Who cursed you

akili za kima hizi...hujawahi skia military power and influence?
70 percent angola wanaishi ktk umaskini....richest woman ana net worth zaidi ya 3 billion...danganya mwingine..sio mkenya broWe ulitaka nn iwape uchumi mkubwa wakat wanaitumia resources vzr kuendeleza nchi??
military influence...pumbaff....yaani nikama nazungumza na mbuzi...jamaa mbona hushiki chochote...naongea na mti au?sasa wewe kuku nini,mbona umetenganisha!!kwanini isiwe
military power infruence ila inakuwa and influence??
nguvu ya kijeshi na ushawishi,ni vitu haziiumani.sawa??
Sikuelewi, atinini?hata ukitangazia majirani una mke mzuri,subiri siku aunguze mboga.
utaambiwa alikuwa akitinda nyusi akasahau jukumu la msingi ndani.
Mm nakwambia maisha wanauoishia angola wakenya hamuwezi kuyanusa hio ndio fact sasa jiletee link kua 70% ya angola wanaishi kwenye umskini nsubiria70 percent angola wanaishi ktk umaskini....richest woman ana net worth zaidi ya 3 billion...danganya mwingine..sio mkenya bro
Amechanganyikiwa anatapatapa kujunasua na aibu ya kuwa failed state, anatafuta kila njia hata za uongo ili kupunguza aibu ya failed stateHebu tuletee hio link kua dar ni 9 na nairobi ni 40, am waiting😀😀😀😀😀
Heheh asante sana kwa kufika 80 jitahidi mupike vzr ifike 100😀😀😀😀😀 ongezeni mkaa moto uwake vyemagdp inatangazwa kivipi? pengine nikuulize sababu una akili za kima.... gdp inatangazwa quarterly...that is after evry 4 months
akili za chura hizi...angola haioni hata rwanda kwa maisha bora....Mm nakwambia maisha wanauoishia angola wakenya hamuwezi kuyanusa hio ndio fact sasa jiletee link kua 70% ya angola wanaishi kwenye umskini nsubiria
one of the first tall buildings in Nairobiwow...huwezi amini hoteli hii ilijengwa miaka ya 60s...thats Nairobi for you...
military influence...pumbaff....yaani nikama nazungumza na mbuzi...jamaa mbona hushiki chochote...naongea na mti au?
sawa arabHeheh asante sana kwa kufika 80 jitahidi mupike vzr ifike 100😀😀😀😀😀 ongezeni mkaa moto uwake vyema