Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tangu muanze kujihusisha na hizo forum za ulimwenguni ambazo wachangiaji hutumia lugha ya kingereza,mmepata nini cha ziada ukiachilia madharau na matusi mnayotukanwa na wanaijeria?.

kuna wakati mlidai kwamba mnataka kuachana na jf ili muende nairaland, cha ajabu hadi hii leo, mpo hapa jf, na kila siku wakenya wapya wanajisajiri jf.

ukiondoa mtandao wa kikabila wa JamiiForums.com, ni mtandao gani wa kijamii wa kikenya unaweza simama na jf?.
nipatie orodha ya Wakenya waliojisajili na jf mwezi huu. halafu Wanaija hushinda kutusifia kule Nairaland na kuna Wakenya wanaowakilisha Kenya kule Nairaland sasa sijui wewe unamaanisha nini?
 
Kilimani estate
6630.jpg

Rigeways estate
6632.jpg
 
Kenyans, I have noticed this morons keep showing asmall part of dar from different angles.. Dar has nothing on Nai, I belive the rest of the other parts are full of slums and unplanned settlements. Poor Dar
My brother usishangae sana, just go to google earth uone vile dar omechakaa. Yani kila mahali ni nyumba za gable with corrugated iron sheets. Huu mjii haifai kulinganishawa na Nairobi haplta sekendu moja. Enda google earth ama wikimapia.org then search dar es salaam. Utacheka sana
 
My brother usishangae sana, just go to google earth uone vile dar omechakaa. Yani kila mahali ni nyumba za gable with corrugated iron sheets. Huu mjii haifai kulinganishawa na Nairobi haplta sekendu moja. Enda google earth ama wikimapia.org then search dar es salaam. Utacheka sana
wacha nimpe sample
download-18.jpeg
 
it's so interesting to see how these Tanzanians keep showing us images of dar cbd. Yani kaeibia 90% of all their postings capture only the cbd, with the three blue towers featuring prominently followed by the overrated brt. Yani ni nadra sana kuona hawa ndugu zetu wakipost earial photos showing life in dar outside the cbd. It only confirms one thing: this glorified village has nothing outside the cbd which makes this comparison a stupid one. Yani dar iko na slums left right and center! ingieni google earth ama wikimapia.org mshangae
 
hahahahaa... yaani jichoboy akiwa na nyumba hapo katikati tayari anajiona amefika
Alafu utsikia eti dar kila mtu anamiliki nyumba. Hizo ni nyumba au changaduo? najua watataja kibera but kibera ni sehemu ngogo sana kwa Nairobi. Comparing Nairobi with dar is a waste of time
 
Swali kwa wakenya!! Hizo picha za hotels mnzotuma humu mnazitoaga wapi? ikiwa waziri wenu anasema mna hotels za kizaman huku zetu zikiwa bora na mpya mpya

d90b3624f98d5a28077a0648b754a433.jpg
!
akisema hakuna hotels ina maana hakuna hata moja...we jamaa tafadhali wacha jokes😀😀😀😀kwani kiingereza kigumu?
 
it's so interesting to see how these Tanzanians keep showing us images of dar cbd. Yani kaeibia 90% of all their postings capture only the cbd, with the three blue towers featuring prominently followed by the overrated brt. Yani ni nadra sana kuona hawa ndugu zetu wakipost earial photos showing life in dar outside the cbd. It only confirms one thing: this glorified village has nothing outside the cbd which makes this comparison a stupid one. Yani dar iko na slums left right and center! ingieni google earth ama wikimapia.org mshangae
they dont hav anything outside that CBD...kila mtu anaishi hapo...kila mtu anafanya kazi hapo...kila mtu anatibiwa hapo....hawana estates hawa majamaa
 
Back
Top Bottom