Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya: 2 Soldiers Killed, 5 Injured in Exchange of Fire With Administration Police

allafrica.com

Feb 15, 2018 11:41 AM

Nairobi — Two military soldiers were shot dead by Administration Police officers in Mandera late Wednesday, near the border with Somalia, in what authorities described as 'friendly fire'.

The KDF soldiers are said to have been on patrol when they encountered the Administration Policemen and opened fire on their camp deep inside a forest on mistaking them for Al Shabaab terrorists.

As a result, police said, the AP officers fired back and killed two KDF soldiers and injured five in the incident that occurred at Sheikh Barrow - a remote area close to the border.

Lafey Deputy County Commissioner Charles Mbulishe has confirmed the incident


Hawa jamaa vilaza sana,wenyewe hawaelewani,wataweza kuishinda Al-shabaab?
Kenya kuna vituko hadi inasikitisha
 
Kumbuka ndo wenye njaa East and Central African so iyo infruencial inatoka wapi au mi ndo sielewi manake
nenda utafte maana ya neno influential...ama upige search Google uandike most influential countries in africa...wacha kujifanya kana kwamba una akili za kima
 
meanwhile diamond platnumz is about to open/launch a wasafi music management office in nairobi.

this is the only opportunity for all the young talented artist especially the "ignored ones"
to be recognized.

tell your talented brother or sister that a tanzanian boy diamond platnumz is coming to "help kenyan music to grow".

aea1abd39d1072e033c2b477d7f90610.jpg


BTW is there any kenyan artist who has an office outside kenya?... or has an office in tanzania?.

and don't tell me about lupita nyongo, she is not staying in kenya

NB:
jay najua una hustle hapo nairobi bila kuwa na job ya kueleweka.

nitazungumza na diamond aniachiye mimi jukumu la kumtafuta kijana mkenya awe head supervisor wa WCB office in nairobi. it could be you, please send your CV via my inbox. i'm not joking in this. serious talk.
Diamond has really fucked your ass..were bringing billions of investments to tanzania then you come here and tell us wcb ..compare that to sportpesa
 
You should have reminded him that Angola is a country that was ravaged by civil war for close to two decades during which they country stagnated on economic development. You should also have reminded hom that Luanda, the country's capital, is the most expensive city to live in in Africa. Civil war in Anhola ended just the otjer day so the country has nothingbon Kenya ila wanjikakamua sana kimaendeleo. Sio kama hawa majirani wetu bongolala
I forgot...yes its true....Angola has been dealing with civil war of epic proportions for many years...sasa angola ndio wanaheshimu sana hawa jamaa...what a joke...
 
tangu nianze ku-surf internet, miaka yangu yote, kwenye forums tofauti tofauti za ulimwenguni, ni wananchi wa nchi tatu tu pekee barani Afrika ambao mara nyingi huwa nakumbana nao ambao ni Wakenya, Wanigeria na Waafrika Kusini.... Wazimbabwe pia wanajaribu. sasa tanzania juu haielewi kiingereza, itatoa mchango gani wakueleweka na wa kuchukuliwa serious in any social media apart from kujibana hapa jf?
Umeshindwa katika mambo ya maana unarudi kwenye lugha, kwa kutumia Kiswahili tumeweza kufanikisha
1)Umoja wa kitaifa
2) Kumaliza ukabila
3)Kupambana na rushwa
4)Kuufanya mziki wa Tanzania kuvuka mipaka ya Afrika
5)Kuzalisha chakula cha kuwalisha wakenya
Vipi mnakufa kwa njaa wakati kiingereza kimejaa mdomoni?
 
nenda utafte maana ya neno influential...ama upige search Google uandike most influential countries in africa...wacha kujifanya kana kwamba una akili za kima

influential inayoshindwa ku act hata kwa majirani zake somalia wakae sawa.ni influential ya namna gani???

yaani somalia hawaoni kama kuna cha kuiga kenya,uko na bla bla ya kupatia usingizi hapa.
 
Umeshindwa katika mambo ya maana unarudi kwenye lugha, kwa kutumia Kiswahili tumeweza kufanikisha
1)Umoja wa kitaifa
2) Kumaliza ukabila
3)Kupambana na rushwa
4)Kuufanya mziki wa Tanzania kuvuka mipaka ya Afrika
5)Kuzalisha chakula cha kuwalisha wakenya
Vipi mnakufa kwa njaa wakati kiingereza kimejaa mdomoni?
Lakini mmebaki LDC
 
influential inayoshindwa ku act hata kwa majirani zake somalia wakae sawa.ni influential ya namna gani???

yaani somalia hawaoni kama kuna cha kuiga kenya,uko na bla bla ya kupatia usingizi hapa.
wanajeshi wa marekani na russia wamekuwa Syria na Afghanistan na hata somalia kwa miaka na mikaka....ila bado magaidi wanatawala nyanja mbali mbali za nchi hizo....mbona huulizi swali kama hilo? usiwe ni kama mwendawazimu huelewi mambo..kisha influntial sio tu kwenye jeshi na political landscape...kuna economic influence pia...kenya ndio inaongoza EAC kwa biashara...hio ni influence pia
 
hata mngesema botswanana na namibia ningekubali ila angola hamna chochot kule....ni mafuta tu ndio inawapa uchumi mkubwa ila hali ya wananchi afadhali ya LDC...kama tu nigeria
We ulitaka nn iwape uchumi mkubwa wakat wanaitumia resources vzr kuendeleza nchi??
 
wanajeshi wa marekani na russia wamekuwa Syria na Afghanistan na hata somalia kwa miaka na mikaka....ila bado magaidi wanatawala nyanja mbali mbali za nchi hizo....mbona huulizi swali kama hilo? usiwe ni kama mwendawazimu huelewi mambo..kisha influntial sio tu kwenye jeshi na political landscape...kuna economic influence pia...kenya ndio inaongoza EAC kwa biashara...hio ni influence pia

unaona sasa ulivyo andazi,hamna sehemu nimedai influential ya kenya iwe kwa kutumia jeshi.

kwanza hiyo siyo tafsiri yake,tafsiri yake ni ushawishi,unashawishi kwa kutumia jeshi kiaje.hapo utakuwa umelazimisha.

turudi kwenye ushawishi wa kenya sasa,ina ushawishi upi kwa majirani???
 
Back
Top Bottom