Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

stop being petty....sasa tunashindana ownership ya lugha tena? FYI, kenyans hawakidhamini kiswahili pengine tu wale wa coast ila heri wazungumze sheng, kiingereza au lugha za mama..tunazungumza tu kwa ajili ya mawasiliano...this arab guy😀😀😀
Inajulikana hivyo kwamba ninyi mnarhamini zaidi kiingereza, na mnakihusisha na civilization au kuwa educated, kifupi ninyi ni miongoni mwa watu hovyo msiojitambua hapa Africa, wazungu kwenu ni zaidi ya Mungu
 
Good gracious! Before ''dreamlining'' of flying to USA first work on capacity building to meet the best of aviation industry practices. Europe could be the best to gauge the waters if at all first you can fulfill EU stringent safety standards. Forget US for the next coming one decade or so if lucky!
Wewe ujui kitu tunajenga kinaitwa terminal 3 airport
 
Sasa waje Kenya kufanya nn buda?lakin kibera msiivunje inaweza saidia kukuza utalii
Hapo umewapa ushauri mzuri wakivunja kibera wazungu na vyombo vyao vya habari wataisahau Kenya
Jamani wakenya msivyunje msivujunje please KIBERA
 
Most beautiful city, the Green City

Mbeya Region the lush gardens of Tanzania

13534477_299310430457040_769890471_n.jpg
24125674_144231056226755_7031369914665402368_n.jpg
27576021_202511796967711_5627057402923712512_n.jpg
26073432_1640970135995900_915417793187282944_n.jpg
26333237_1979435225602146_2570124703557484544_n.jpg
26227649_1551251368244367_90118318064664576_n.jpg
26156848_1783488881672956_1354827762572984320_n.jpg
26154714_568282393524509_3321935394164965376_n.jpg
26374546_138915263470608_8682095570740838400_n.jpg
26187027_191831791558687_8445150149235179520_n.jpg
26183706_256653148203230_6137951356285091840_n.jpg
26158323_132532537547486_8017412522275504128_n.jpg
26871408_1647764188595754_8138729285209817088_n.jpg
 
stop being petty....sasa tunashindana ownership ya lugha tena? FYI, kenyans hawakidhamini kiswahili... pengine tu wale wa pwani... ila heri vijana wazungumze sheng, middle class wazungumze kiingereza na wengine lugha za mama..tunazungumza tu kwa ajili ya mawasiliano....you can keep it if it makes you happy.....this arab guy😀😀😀

Kiswahili ni ya kuomba maji na kubargain bei,khalas! Asituletee
 
unafaa uishi nairobi hata wiki moja tu...weather shwari kabisa..huko Dar sijui huwa mnaishi aje huko..nchi yenye joto kana kwamba mpo kwenye oven...hivi nikuulize, watu huwa wanavaa suti wakienda kazi kweli na joto hilo lote??
We mkenya mpuuziii kweli kwani kazini suti ndo zinafanya kazi au watu
 
huwa nachukia sana nchi zenye joto...ndio maana hata Mombasa kuenda mimi ni sababu ya kujivinjari tu na wala si biashara...siwezi hata nikawekeza shilingi yangu Mombasa hata kuwe na nini...joto la Pwani hapana!!! no no no no no!!! never never!! mtu hajafika hata kazini pale Kariakoo CBD ashaanza kupambana na jasho...
Mpumbavu wewe njoo dar uone Watoto wakijiachia kanga moja mademu wanavaa transparent clother hadi raha au nikutumie pics
 
huwa nachukia sana nchi zenye joto...ndio maana hata Mombasa kuenda mimi ni sababu ya kujivinjari tu na wala si biashara...siwezi hata nikawekeza shilingi yangu Mombasa hata kuwe na nini...joto la Pwani hapana!!! no no no no no!!! never never!! mtu hajafika hata kazini pale Kariakoo CBD ashaanza kupambana na jasho...

huwa nachukia sana nchi zenye joto...ndio maana hata Mombasa kuenda mimi ni sababu ya kujivinjari tu na wala si biashara...siwezi hata nikawekeza shilingi yangu Mombasa hata kuwe na nini...joto la Pwani hapana!!! no no no no no!!! never never!! mtu hajafika hata kazini pale Kariakoo CBD ashaanza kupambana na jasho...
38ff6b336b538dff9d007723d39b46ce.jpg
 
niwakumbushe kuwa nchi zenye baridi huwa zina perform vizuri kiuchumi kuliko nchi zenye joto kali
Ujui neema iliyopo tz wewe kima tz kunakila kitu maeneo yenye baridi sana kama ulaya yapo na yenyejoto kama Saudi yapo tena maeneo yenye baridi ya tz yanabaridi kuliko eneo lolote Kenya hadi barafu zina angukaga kama mvua
 
kwenye picha hio majengo yamewachana wachana gap kubwa kubwa? hata sijui huyo jamaa alikuwa anafiiri nini akileta picha hio....miji kama Abidjan na Luanda zipo na picha bora zaidi ukipiga kutoka hio angle...natumia mfano wa miji hii sababu nairobi haina bahari
Ilo eneo ni kubwa sana nikama Nairobi × 4 hivyo yanaonekana majengo marefu sana pekeyake
 
kwenye picha hio majengo yamewachana wachana gap kubwa kubwa? hata sijui huyo jamaa alikuwa anafiiri nini akileta picha hio....miji kama Abidjan na Luanda zipo na picha bora zaidi ukipiga kutoka hio angle...natumia mfano wa miji hii sababu nairobi haina bahari
Sikuzote wakenya mnasema dar majengo yapo karibu karibu sana ni kweli sasa vipi Leo unasema majengo yameachana sana hiyo pics imechukuliwa Kwa mbali sana ukubwa Wa ilo eneo nairobi inaingia x4 waulize wakenya aliofika dar
 
Ujui neema iliyopo tz wewe kima tz kunakila kitu maeneo yenye baridi sana kama ulaya yapo na yenyejoto kama Saudi yapo tena maeneo yenye baridi ya tz yanabaridi kuliko eneo lolote Kenya hadi barafu zina angukaga kama mvua
kima mamako...barafu ndio nini wewe kenge?...kwani barafu haipo Kenya😀😀😀ebu tumia akili pumbav mkubwa ww
 
Back
Top Bottom