Jamani!!!! Unaangalia picha kutoka angani alafu unauliza kama anadhani kuna camera inapiga picha huko angani, like seriously?! Ebu tuambie we unadhani hiyo picha imepigwa na nini? Usiniambie jua tafazali!Kwa ushamba wako unadhani hizo picha ni za miaka hii ya karibuni. Hizo ni picha za zamani sana. Hivi unafikiria huko angani kuna camera inapiga picha!!?. Usihamishe mada.
I love yur swahiliEdwards Uko na pics za KIAMBU road?
Sina time yako mtoto.
Building gani mko nayo hapo na ni nane mlituma pekee



i love yur swahiliHahahhaahaha na hio nyingine
View attachment 488006
We ni mschana au mvurana???Sina time yako mtoto.
Building gani mko nayo hapo na ni nane mlituma pekee
wakirudi wataanza ku-repost picha za flyovers,highways na magorofa machache ya koinange road,kenyatta/moi avenue.Hahahah! naona vijana wa Nai wamejificha
View attachment 488081

hahaha..... you actually took the bait!!! Like peanut to a rat.Tafadhali.