Bongo majengo wanayojenga wanabadilisha sana, check hii, Pspf ilikua originally 32 floors, wakapeleka hadi 35, TPA ilikua 30, wakabadilisha ikawa 35 na sasa ni 40, im sure ni 40 kwa kuwa jamaa wafung lift walikua wanafanya installation 39th floor, uhuru heights ilikua 25, lakini wakapeleka hadi 27, samora tower 19 floors lakini wameenda hadi 23, MNF ilikua 20 na 18, sasa ni 32 , kwa hiyo ni safe kuamini kuwa mzizima inaweza kuwa zaidi ya hapo, Pia mwanzo kabisa mwyinyi aliwahi kusema kuhusu 50 floor kutoka NSSF