Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That one we give it to compete with Wild Waters in Mombasa
5.jpg
Acha kujiaibpsha hapo utakimbia sana. Taja jina la eneo hilo.
Hapa ni Funny City Kigamboni
Aibu1.jpg
 
3 staffs from NSSF just came to our office to register our staffs and I asked the guy about their new building and he made a phone call asking " Our new building along Azikiwe , how many floors is it going to be? " He put the guy on loud speaker and he said "It was initially 35 floors but they decided to add more floors, I think its 40 or 50" not sure. So Mzizima tower is not going to be 35 , its going to be more than that.
 
Bongo majengo wanayojenga wanabadilisha sana, check hii, Pspf ilikua originally 32 floors, wakapeleka hadi 35, TPA ilikua 30, wakabadilisha ikawa 35 na sasa ni 40, im sure ni 40 kwa kuwa jamaa wafung lift walikua wanafanya installation 39th floor, uhuru heights ilikua 25, lakini wakapeleka hadi 27, samora tower 19 floors lakini wameenda hadi 23, MNF ilikua 20 na 18, sasa ni 32 , kwa hiyo ni safe kuamini kuwa mzizima inaweza kuwa zaidi ya hapo, Pia mwanzo kabisa mwyinyi aliwahi kusema kuhusu 50 floor kutoka NSSF
 
Mr. Edwardo nakuona umejifungia sasa kwenye shimo.
DarMpya.jpg
 
Hii thread imekata mzizi wa fitina kwakwel,tumeona mengi
 
Vijana wa Nairobi naona mmejificha. Hii hapa ni Dar
ZAMANIn.jpg
 
Back
Top Bottom