Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Can you get your facts right! The 6 a/c were leased off by KQ hence generating revenue instead of flying with less optimum capacity. That way they put the equipment in a viable mode than escalating operations cost or having them parked idle (A profitable aircraft is the one in the skies). Learn something!
hahahah hio ndio faida ya ku lease aircrafts ndio maana loss imewakombatia kama kupe kwenye ngozi 5 good years inawatafuna😀😀😀😀

mulipoona maji yamezidi unga mkaamua kurudisha ndege za watu zikiwemo 787 dreamliner na 737 plus embraer
 
Kumbuka hakuna mtu atapitia Nairobi ili aje tz for that sake...lakini labda utaelewa mambo yakianza. ..nikuache
ni sawa tu kwani pia nasi tuna launch new links...ila usijarib kufananisha hayo magofu yenu bombadier na airline iliokomaa kama KQ...kisha nikukumbushe hamna direct flights kwenda USA ana UK...kwa hiyo watapitia tu hapo Nairobi upnde usipende
 
hapo nawapongeza sana...cheap data....ila ukiwauzia maskini nchi LDC data ya bei ghali unatumia akili kweli?? si nikuwakandamiza watu wanaoishi kwa umaskini wa kutupwa
na unajua sababu ya cheap data kwasababu kuna ushindani mkali wa telecomunications companies

tanzania kuna telecommunications 8 zote zinaushindani wa hali ya juu sio kenya safaricom hana mpinzani kabisa
 
hapo nawapongeza sana...cheap data....ila ukiwauzia maskini nchi LDC data ya bei ghali unatumia akili kweli?? si nikuwakandamiza watu wanaoishi kwa umaskini wa kutupwa
Mamlaka husika ndio zinawabana hayo nakampuni bei zisipande hovyo,laa sivyo tungekomeshwa
 
watu wanajigamba na utalii meanwhile watalii wanabbwa na ndege za nje😀😀😀😀
11h 15m duration, 1+ stops
Dar es Salaam, Tanzania (DAR) to London, United Kingdom (all airports)
11h 15m+
upload_2018-2-10_15-57-12.png
KLM
via Amsterdam
11h 35m+
upload_2018-2-10_15-57-12.png
Kenya Airways, British Airways
via Nairobi
11h 45m+
upload_2018-2-10_15-57-12.png
SWISS
via Zürich
12h 40m+
upload_2018-2-10_15-57-12.png
Kenya Airways
via Nairobi
13h 45m+
upload_2018-2-10_15-57-12.png
Turkish Airlines
via Istanbul
 
na unajua sababu ya cheap data kwasababu kuna ushindani mkali wa telecomunications companies

tanzania kuna telecommunications 8 zote zinaushindani wa hali ya juu sio kenya safaricom hana mpinzani kabisa
ukweli
 
FYI,the C-series is the largest of Bombadier with max.150pax. Kama hiyo ndio kubwa then your ambitions are dwarfs!
Ni kubwa in comparison with q-400 na sio kubwa kushinda ndege zote get that point first, hizo zinakuja kwa ajili ya bara la Africa, flight zote site Africa to and fro tunaanza nazo, kwa mabara mengine dreamliner ndio itakwenda
 
elewa kiswahili nimekwambia international airlines zinakuja direct to zanzibar, dar and kilimanjaro zikiwemo
KLM, turkish, fly dubai, emirates, etihad, qatar, SA, etc
Pwahahahaaha..you are making my point for me....hivi nikuulize, kati ya hizi airline ulizotaja, za Tanzania ni zipi?😀😀😀😀
 
meanwhile ndege hizo hizo nio zinawabebea watalii...yaani mna chekesha sana nyie😀😀😀watalii asilimia 99 wanabebwa na ndege za nje🙁🙁🙁

Ni muda sasa mtuachie jukumu letu au unasemaje???
 
Ni muda sasa mtuachie jukumu letu au unasemaje???
muda upi? pengine nikuulize, tanzania ina direct flights kwenda USA, UK, Germany???? 😀😀😀😀 sisi tunazo na watalii watapitia tu nairobi mpende msipende...
 
Pwahahahaaha..you are making my point for me....hivi nikuulize, kati ya hizi airline ulizotaja, za Tanzania ni zipi?😀😀😀😀
Nil...
usiwe huelewi. ..kabla hatujamaliza huu mwaka ndegezitakua zimefika na kuanza kazi...wakat tunasubiri pinaccle 2075 itakua imeisha
 
Pwahahahaaha..you are making my point for me....hivi nikuulize, kati ya hizi airline ulizotaja, za Tanzania ni zipi?😀😀😀😀
tanzania ndio tumeanza kua serious kwenye airline ndio maana tumenunua 7 aircrafts cash deal tukitaka kurudisha safari za nje ya tanzania na africa ndio maana. tumeanunu cs 300 mbili kwa ajili ya safari za within africa na 787 boeing mbili kwa safari nje ya africa
 
muda upi? pengine nikuulize, tanzania ina direct flights kwenda USA, UK, Germany???? 😀😀😀😀 sisi tunazo na watalii watapitia tu nairobi mpende msipende...
watapita vp mtu anatoka europe aache kupanda KLM inakuja mpaka kilimanjaro direct apande KQ huu siutakua uwendawazimu😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom