Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe ni ulimbukeni unawasambua hivi kweli mtu Kenya inaweza kushindana na USA kwenye Internet speed achilia mbali technology? Hii Internet ilioanza miaka ya 90s USA marine walikua nayo tokea 80s ila ilikua kwaajili ya military service tu ndio baadae wakaona waifanye commercial sasa hawa nyumbu wa kibera anakaa kwenye choo na kujiandikia pumba zake na wakenya wenzake wanaamini hii pumba.

US Internet ina speed ya kutisha huwezi kuilinganisha na speed ya kibera
wachana kuimba imba USA this USA that...jiulize wewe hapo mkaazi wa Manzese unatumia speed gani...sasa USA ndio kwenu?😀😀😀😀pumbavu mkubwa ww
 
so kampuni ya NASA iko kenya???😀😀😀
NASA ikitumia fast internet ina maana wakaazi weote wa USA wanatumia fast internet??😀😀😀😀😀jamaa una ujinga mwingi sana😀😀most of the infrastructure that NASA uses is top secret...wananchi wa kawaida hata hawaruhisiwi kuwa na mashine zingine wanazotumia NASA...
 
Hehehe ni ulimbukeni unawasambua hivi kweli mtu Kenya inaweza kushindana na USA kwenye Internet speed achilia mbali technology? Hii Internet ilioanza miaka ya 90s USA marine walikua nayo tokea 80s ila ilikua kwaajili ya military service tu ndio baadae wakaona waifanye commercial sasa hawa nyumbu wa kibera anakaa kwenye choo na kujiandikia pumba zake na wakenya wenzake wanaamini hii pumba.

US Internet ina speed ya kutisha huwezi kuilinganisha na speed ya kibera
atakwambia pia kenya inashinda russia kwa internet speed😀😀😀😀 kenyatta aliwatia ujinga wakenya duhhh
 
tuliza akili kenge wewe😀😀😀😀😀
we unafkiri NASA hawatumii broadband connections
yani Usa ndio mwenye internet alaf nyie muwe na interrnet fast than USA aisee kenyatta amewavuruga akili
hii sio mara ya kwanza kuongea kuhusu ii maneno. last time ulijipiga kifua eti Russia eeh Russia aaahhh.... leo hii nakushangaa unavyoshobokea USA na NASA.... jibambe bro. mbuzi mtu wewe
 
sasa ni dodoma 😀😀😀😀
93F2BB5A-C5B1-4C73-80F5-1666A398A0C1.jpeg
 
hii sio mara ya kwanza kuongea kuhusu ii maneno. last time ulijipiga kifua eti Russia eeh Russia aaahhh.... leo hii nakushangaa unavyoshobokea USA na NASA.... jibambe bro. mbuzi mtu wewe
huyo mwarabu mwache ni kama ujinga umemzidi...
 
hii sio mara ya kwanza kuongea kuhusu ii maneno. last time ulijipiga kifua eti Russia eeh Russia aaahhh.... leo hii nakushangaa unavyoshobokea USA na NASA.... jibambe bro. mbuzi mtu wewe
hehehe akili kichwani mwako 😀😀😀😀
kenyatta aliwatia maji kwenye ubongo

kasome roscosmos of russia alaf rudi hapa kenge we
 
Wacha nicheki Aubameyang wasee.
[HASHTAG]#NorthLondonDerby[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom