hahaha mnafufua airline 2018...mna chekesha sana nyie jamaa😀😀😀Bombardier zikija zile kubwa hawa manunda watakosa usingizi![]()
afadhali tunafufua by cash purchase sio nyie mume lease aircrafts zote kutoka kwa wenye pesa😀😀😀hahaha mnafufua airline 2018...mna chekesha sana nyie jamaa😀😀😀
Mimi natumia Internet ya speed 4G LTE na cheap kuliko yenu kwa ksh 75 napata GB 10 hii ni ndoto ya mchana huko kwenuwachana kuimba imba USA this USA that...jiulize wewe hapo mkaazi wa Manzese unatumia speed gani...sasa USA ndio kwenu?😀😀😀😀pumbavu mkubwa ww
Na itawamaliza vibaya buda...cheka kinyumenyumehahaha mnafufua airline 2018...mna chekesha sana nyie jamaa😀😀😀
wachana kabisa na dar na hapo tumeanza kujenga nchi just 10 yrs tu na bado tunaendelea sasaKwa upande wa nyumba pekee tunaongoza east Africa in all aspect...check this out
![]()
![]()
hata si jambo la kucheka...ni jambo la huzuni sana...sasa mnajigamba kufufua airline 2018 wengine kama SAA, KQ na Ethiopian airlines tufanyeje?Na itawamaliza vibaya buda...cheka kinyumenyume
Hehehe nyangau wameona mambo hayo?Kwa upande wa nyumba pekee tunaongoza east Africa in all aspect...check this out
![]()
![]()
Mimi natumia Internet ya speed 4G LTE na cheap kuliko yenu kwa ksh 75 napata GB 10 hii ni ndoto ya mchana huko kwenu
Sasa ata real estate wakiambiwa tunawazidi wanakua kwenye denialwachana kabisa na dar na hapo tumeanza kujenga nchi just 10 yrs tu na bado tunaendelea sasa


meanwhile ndege hizo hizo nio zinawabebea watalii...yaani mna chekesha sana nyie😀😀😀watalii asilimia 99 wanabebwa na ndege za nje🙁🙁🙁afadhali tunafufua by cash purchase sio nyie mume lease aircrafts zote kutoka kwa wenye pesa😀😀😀
na mbaya zaidi mwaka jana mumerudisha 6 aircrafts kutokana na loss inayowatafuna vyema
Plane leasing deals leave Kenya Airways with Sh4 billion loss
GB 2 ni 50 kshhow much is 1 GB price kwanza...anzia hapo
hio ni voda 25 ksh 😀😀😀😀 24 hrshow much is 1 GB price kwanza...anzia hapo
Kumbuka hakuna mtu atapitia Nairobi ili aje tz for that sake...lakini labda utaelewa mambo yakianza. ..nikuachehata si jambo la kucheka...ni jambo la huzuni sana...sasa mnajigamba kufufua airline 2018 wengine kama SAA, KQ na Ethiopian airlines tufanyeje?
Upande wa MajengoKwa upande wa nyumba pekee tunaongoza east Africa in all aspect...check this out
![]()
![]()
kuna direct flights kutoka nchi nyingi sana tena bahati nzuri zipo zinatua zanzibar, dar na kilimanjaro direct flights 😀😀😀😀😀meanwhile ndege hizo hizo nio zinawabebea watalii...yaani mna chekesha sana nyie😀😀😀watalii asilimia 99 wanabebwa na ndege za nje🙁🙁🙁
afadhali tunafufua by cash purchase sio nyie mume lease aircrafts zote kutoka kwa wenye pesa😀😀😀
na mbaya zaidi mwaka jana mumerudisha 6 aircrafts kutokana na loss inayowatafuna vyema
Plane leasing deals leave Kenya Airways with Sh4 billion loss
hapo nawapongeza sana...cheap data....ila ukiwauzia maskini nchi LDC data ya bei ghali unatumia akili kweli?? si nikuwakandamiza watu wanaoishi kwa umaskini wa kutupwa
zikwapi?😀😀😀😀kisha uniambie ndege zipi hizo za tanzania sijawahi kuziskia 😀😀😀😀kuna direct flights kutoka nchi nyingi sana tena bahati nzuri zipo zinatua zanzibar, dar na kilimanjaro direct flights 😀😀😀😀😀