Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Hahahaha...hizo ndege hazina umuhimu wowote wakati hamna direct flights kwenda tourist destinations kama USA...usifikiri mtalii kutoka Marekani atapanda ndege kwenda kuunganishia Dubai ndio aje Dar ilhali ana option ya kupitia Nairobi....kwa hivyo, ndege yes mmenunua ila direct flights hamna😀😀😀😀....watalii watapitia Nairobi tu mpende msipende😀😀😀Nil...
usiwe huelewi. ..kabla hatujamaliza huu mwaka ndegezitakua zimefika na kuanza kazi...wakat tunasubiri pinaccle 2075 itakua imeisha