Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inamaanisha all international arrivals ni tourists bro mbona aibu haikuachi😀😀😀😀

Tanzania imepokea 2m only tourist wachana na other international arrivals my friend

Kwenye suala la tourism hilo sahau halitarudi
usiwe unatoa data puani ama matakoni ndugu😀😀😀😀 watalii wanaopitia Kenya ni zaidi ya millioni 4 kila mwaka, wengi wao huwa wanaingia jijini kulala hata kama ni kwa usiku mmoja kisha wanafululiza kwenye destinations wanazotaka afrika mashariki...nchi kama Uganda haina airline hivyo watalii asilimia 90% na zaidi wanatua nairobi kwanza...this is the same for Tanzania, Rwanda etc...
 
nikaskia tena mwarab mjinga akisema tourism receipts Kenya 2017 ni $350 mln😀😀😀
that is $1.19 Billion in a year that was full of chaos, drought and elections

Hahaha hio ni source au maoni ya mtu😀😀
 
Hahaha hio ni source au maoni ya mtu😀😀
Najib Balala, the minister for tourism in Kenya😀😀😀.mwarab nakushauri uwe unatoa data official😀😀...tukifanya statistics za utalii kwanzia 1990s mpaka leo, we lead both in trms of receipts and tourist numbers...utalii wa tanzania umekua tu juzi...kwanzia 2012...sababu kubwa ni magaidi wa somalia...
 
usiwe unatoa data puani ama matakoni ndugu😀😀😀😀 watalii wanaopitia Kenya ni zaidi ya millioni 4 kila mwaka, wengi wao huwa wanaingia jijini kulala hata kama ni kwa usiku mmoja kisha wanafululiza kwenye destinations wanazotaka afrika mashariki...nchi kama Uganda haina airline hivyo watalii asilimia 90% na zaidi wanatua nairobi kwanza...this is the same for Tanzania, Rwanda etc...
Leta wewe data sasa unaniletea source za twitter upuuzi tu, endelea kujipa moyo kua tourist wanatua nairobi, wakat kuna direct flight of zanzibar and kilimanjaro more than 10 international airlines wachilia mbali dar es salaam...... usilete mawazo ya 90s wakati tuko 2018
 
Najib Balala, the minister for tourism in Kenya😀😀😀.mwarab nakushauri uwe unatoa data official😀😀
Huyo mpuuzi najib balala namjua vzr sana na huyo ndio alieua tourism kwenu 😀😀😀

Leta wewe official source hehe we ulijua international arivals wote ni tourists😛😛
 
Leta wewe data sasa unaniletea source za twitter upuuzi tu, endelea kujipa moyo kua tourist wanatua nairobi, wakat kuna direct flight of zanzibar and kilimanjaro more than 10 international airlines wachilia mbali dar es salaam...... usilete mawazo ya 90s wakati tuko 2018
zaidi ya asilimia 70 ya watalii wa tz wanapitia Nairobi...ukweli ndio huio...maumivu yakizidi, muone dkt😀😀😀
 
DSM

DVlOXTWW4AAlu9m.jpg
 
Huyo mpuuzi najib balala namjua vzr sana na huyo ndio alieua tourism kwenu 😀😀😀

Leta wewe official source hehe we ulijua international arivals wote ni tourists😛😛
utalii uliporomoka kwa sababu ya ugaidi...usimsingizie mwarab mwenzako bro😀😀😀
 
usiwe unatoa data puani ama matakoni ndugu😀😀😀😀 watalii wanaopitia Kenya ni zaidi ya millioni 4 kila mwaka, wengi wao huwa wanaingia jijini kulala hata kama ni kwa usiku mmoja kisha wanafululiza kwenye destinations wanazotaka afrika mashariki...nchi kama Uganda haina airline hivyo watalii asilimia 90% na zaidi wanatua nairobi kwanza...this is the same for Tanzania, Rwanda etc...
Soma hapa ujue dunia ilipofika


Tanzania overtakes Kenya as regional tourism hotspot
 
hivi umesoma kweli hio link ulionipa?

Tanzania, famed for its pristine beaches and safari parks beneath snow-capped Mount Kilimanjaro, has always played second-fiddle to Kenya which has a more developed tourism industry and better air links to key markets in Europe and United States
soma hapo in bold
 
hivi umesoma kweli hio link ulionipa?

Tanzania, famed for its pristine beaches and safari parks beneath snow-capped Mount Kilimanjaro, has always played second-fiddle to Kenya which has a more developed tourism industry and better air links to key markets in Europe and United States
soma hapo in bold
Soma wewe hehehe kenya haitaweza tena kushindana na tanzania kwenye utalii hio sahau bro tuongee mengine lakini sio utalii😀😀
 
Dunia hairudi nyuma ndugu😀😀😀
2017 tumepokea watalii pekee zaidi ya 2m
Mpaka 2025 tunatarajia kupokea watalii 16m


Tanzania challenges violence-hit Kenya as regional tourism hub
my friend, history plays crucial role in a nations future....ukweli ni kwamba utalii wenu uko chini sana...haijafikia level ambayo inafaa iwe imefikia...yaani mnashindwa na nchi kama Botswana na Zimbabwe katika utalii licha ya kuwa na vivutio bora zaidi barani baada ya Misri😀😀😀😀huo utakuwa ni ujinga wa hali ya juu
 
my friend, history plays crucial role in a nations future....ukweli ni kwamba utalii wenu uko chini sana...haijafikia level ambayo inafaa iwe imefikia...yaani mnashindwa na nchi kama Botswana na Zimbabwe katika utalii licha ya kuwa na vivutio bora zaidi barani baada ya Misri😀😀😀😀huo utakuwa ni ujinga wa hali ya juu
Utalii watanzania umeanza kutangazea juzi tu na kikwete ndugu, kikwete alizunguka dunia nzima kutangaza utalii so unaeza imagine 2017 tanzania imepokea watalii over 2m na eka akilini 2025 tanzania itapokea 16m tourists kazi imeanza .. botswana wanategemea sana utalii kuliko kitu kingine
 
Usiwe mshamba thika road haina flyover ni interchange hizo hata Dar zipoView attachment 692654 View attachment 692655 View attachment 692656
Mkuu hizo zote ni fly over kwa tafsiri ya flyover. A flyover is a bridge carrying one railway or a road over another.

Hizo picha ulizo weka ujenzi ulikamilika 2015 so i argue all members of this forum to stop taking the bullshit from kenyans that Tazara is our first fly over. Hivyo vi fly over wanavyo jisifia uko Nai nyingi ni kma hizi & they correct they fit to be called fly overs Kwa mujibu wa tafsiri ya flyover.
 
Back
Top Bottom