Tonny MTZ
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 459
- 709
Huku Hatuwez kuweka 6 lanes kwasababu once BRT ikifika pande zote za Jiji na Flyovers + Intersections zikimalizika hakutakua na Foleni..it has 6 lanes pande moja...so a total of 12 lanes....kisha urefu ni 50km and even then we dont see it as a big dal jinsi mnavyo imba imba hizo flyover zenu...
Unajua Mfano kusingekua na BRT tungekua na 8 lanes Au 10_Jiji zima sema BRT imechukua nafasi Kubwa sanaa hata ivyo bado wanazidi kuchonga Barabara mfano kutoka nje ya Jiji zinajengwa 6 lanes na Kuelekea mikoani wameanza na 4 lanes mpaka CHALINZE approximately 40 - 50 something kilometers