Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya wanaosema tanzania ni MW 1400
poleni sana😀😀😀😀😀 ni 1756MW na bado kinyerezi 2 ujenzi unaisha mwaka huu 300MW
4632EE7A-1EA7-4684-BCA6-63D43D0E5287.png
 
Aha! Hivyo basi mko juu ya Egypt na Argentina walio na inflation ya more than 20%???
Wewe ni bongolalas tu. Deal with your illiteracy which is among the lowest in sub saharan Africa.
egypt na argentina imetokea wapi hapa?????
tunaongelea kenya ww unatuambia egypt😀😀😀
 
I thought that youth unemployment rate in Kenyan stands at 40% as ichoboy and his ilk have always said time and again.Nini imefanyika leo hiyo rate ikawa 17%?
hujui au unauliza???😀😀😀😀😀😀
 
Tanzanians have a talent in empty talk....truth be told.Afadhali hata ugandans
 
Hii hapa ni report ya World Food Program
Yani up to 35% of Tanzanian children under 5 have stunted growth! This is due to lack of enough food. Alafu WFP provided fortified food up to a half a million people in their country in the verge of death. alafu wanakuja hapa kusema vile nchi zingine wako na njaa! copy and paste the link

m.wfp.org/stories/10-facts-about-hunger-tanzania

Vip kuhusu KIU jijini ..mnaweza kuoga au bado ??
 
Jinga wewe, soma hiyo taarifa inasema "Survey by Tanzanian think tank Twaweza", sasa Twaweza ni international acceptable source of information?, acha kukimbia ukweli, sisi sio level yenu, taarifa zote tunazowaletea kuhusu Kenya zinatoka katika sources za UN
Naona hata quara.com na daily nation ni source za UN
 
Back
Top Bottom