Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

even Lupita just launched a superhero movie...Black panther...
t9ipo4elgrgechha2zdq.jpg
Black-Panther-Marvel-MCU-Lupita-Nyongo.jpg
landscape-1504787035-black-panther-movie.jpg
Tofauti kubwa kati ya Tanzania na Kenya ni kwamba, Kenya mnapenda sana sifa zisizo na faida, hivyo mnakimbilia vitu visivyokuwa na faida katika nchi yenu ili mradi vinasikika katika vyombo vya habari.

Tanzania inashughulikia zaidi vitu vyenye kuleta unafuu wa maisha ya wananchi wa kawaida kwanza japo sio mambo yenye kuonekana na kusikika ktk vyombo vya habari.Tanzania haina matatizo ya msingi kama, rushwa, njaa, upatikanaji wa maji, ajira, usalama wa raia, ukabila, umeme, barabara, afya na huduma zingine za msingi, Kenya yote haya ni tatizo lakini mnafurahia michezo na mambo mengine yasiyo na msaada kwa wananchi.
 
naliamsha dude....Fact: majority of african countries are good at at least one sport except LDC capital city, Tanzania...
Wanyama just scored a fierce goal against Liverpool jana...

Watanzania sijui kama mtajikaza katika mchezo huu uitwao bano angalau mwache kutia bara la Africa aibu?😀😀
IMG_6174.jpg
IMG_6159.jpg

Kenya ranked as 'failed state'
Wanyama kufunga goli inasaidiaje Kenya kujitoa katika list ya faied state?, au kuokoa maisha ya wakenya wanaokufa njaa kila siku?
 
Aha! Hivyo basi mko juu ya Egypt na Argentina walio na inflation ya more than 20%???
Wewe ni bongolalas tu. Deal with your illiteracy which is among the lowest in sub saharan Africa.
Hawa ni vilaza wa ajabu...Halafu wanaleta quara.com which is a forum as a link to prove their point. There's no difference between quara and Wikipedia
 
Tofauti kubwa kati ya Tanzania na Kenya ni kwamba, Kenya mnapenda sana sifa zisizo na faida, hivyo mnakimbilia vitu visivyokuwa na faida katika nchi yenu ili mradi vinasikika katika vyombo vya habari.

Tanzania inashughulikia zaidi vitu vyenye kuleta unafuu wa maisha ya wananchi wa kawaida kwanza japo sio mambo yenye kuonekana na kusikika ktk vyombo vya habari.Tanzania haina matatizo ya msingi kama, rushwa, njaa, upatikanaji wa maji, ajira, usalama wa raia, ukabila, umeme, barabara, afya na huduma zingine za msingi, Kenya yote haya ni tatizo lakini mnafurahia michezo na mambo mengine yasiyo na msaada kwa wananchi.
Ni kweli hamna tatizo la njaa
Survey finds most Tanzanians go hungry, despite government denials
Living in denial is one of the contributing factors why you are still an ldc. Kwa sababu hamtaki kukubali shida zenu na kuzishugulikia kama taifa
 
ooh no, why?... why?.
is it the reason why some of the youth have chosen do illegal activities in CBD?.

5dedaf3b8a948333dee72c16def4fe20.jpg

good morning muggers
I thought that youth unemployment rate in Kenyan stands at 40% as ichoboy and his ilk have always said time and again.Nini imefanyika leo hiyo rate ikawa 17%?
 
Ukweli ndio hampendi kusikia. Mnajiona taifa bora wakati umasikini na njaa zimewakodolea macho
Sasa unalazimisha goli?, acha kujificha chini ya kivuli chako, ninyi ni taifa lenye njaa ambapo UN imelitangaza kuwa ni taifa linalohitaji misaada ya chakula, mamia ya watu wanaendelea kufa, lete data za UN kuthibitisha Tanzania ina njaa.
 
Lete data za vyombo vya kimataifa zinazokubalika World wide under UN accreditation kama vile vilivyoiweka Kenya kuwa among failed states, hungriest countries, most corrupt countries na nchi yenye deni kubwa la Taifa, vyote hivyo ni level ya dunia, sio kuleta source za vijiweni.
Kwani Reuters sio ya kimataifa? Ama ni chombo cha habari nchini tanzania? Ebu tumia akili na ukabaliane na yaliyosemwa
 
Soma hapo wamesema utafiti umefanywa na Twaweza sio Reuters, acha umbulula wewe.
Kenya ranked as 'failed state'
Tumalizane hii story ya source ya kimataifa kwanza acha kubadilisha goal post. Alafu hiyo story ya failed state you can clearly see the words 'failed state' has been quoted. That one should tell you something. Turudi pale kwa sourve ya Reuters. Usihepe
 
Hii hapa ni report ya World Food Program
Yani up to 35% of Tanzanian children under 5 have stunted growth! This is due to lack of enough food. Alafu WFP provided fortified food up to a half a million people in their country in the verge of death. alafu wanakuja hapa kusema vile nchi zingine wako na njaa! copy and paste the link

m.wfp.org/stories/10-facts-about-hunger-tanzania
 
Back
Top Bottom