Kulindwa Author
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 215
- 121
Tell emFirst give me the number of Kenyans who are suppose to die this year from hunger
Zile nyumba za mabox
Tell emFirst give me the number of Kenyans who are suppose to die this year from hunger
Hii Nouma, undistiputableFirst give me the number of Kenyans who are suppose to die this year from hunger
Du lala mzee![]()
Miko Iyo. ..
Hilo sio a matter of discussion in Tanzania, na hata kama unataka ardhi kuipata sio issue kwa kila namna kuanzia bei na sehemu ya kununua.Kila mtu Tanzania anamiliki ardhi?
Hilo sio a matter of discussion in Tanzania, na hata kama unataka ardhi kuipata sio issue kwa kila namna kuanzia bei na sehemu ya kununua.
Nikuulize swali mkikuyu anaweza kwenda ujaluoni kabisa mle ndani akataka ardhi na akauziwa??
Tanzania kabila lolote linaweza kumiliki ardhi hata iliyokua ya chief wa kabila tofauti na lake na akapokelewa kama ndugu yao na wakampa ardhi tani yake atakayo tena akiamua kukaa nao hapo ndio watakua wanampa kipaumbele kwenye masuala yao yote hapo iwe sherehe au shughuli yoyote lazima ashikirikishwe kikamilifu.
Hiyo ndio Tanzania Nyerere aliyoiacha sisi Tanzania sio kwenye makabila tu hata dini Christmas utakuta wa Islam nao wapo kwenye majumba ya wakristo wanakula kuku Eid nayo wakristo utawakuta kwenye majumba ya wa Islam wanakula pilau kwenye misiba mtu akifa ni kijiji au mtaa mzima tena gharama za msiba wanachangia wanakijiji
au mtaa uliopo wooote bila kujali chochote watu watakula na kusaza siku zote za msiba na mazishi huo mtaa kama msiba ni wa kusafirishwa kwenda kuzikwa kijijini kwao majirani wako lazima wachange nauli waende na matehemu mpaka kijijini kwao huko interior wamzike kisha ndio warudi waendelee na maisha kumbuka hao sio ndugu zako wa kuzaliwa ni watu tu wa mtaani kwako.
Kwenye sherehe kama harusi mtaa wote wanakuchangia pesa za harusi watu wanajimwayamwaya wote kula bata yaani Tanzania ni full kujiachia ndio faida za ujamaa (brotherhood) wote tunashirikiana pamoja kwenye shida na raha kama ndugu.
Hiyo ndio legacy ya Nyerere
Mwalim Nyerere ni freedom fighter usimlinganishe na kenyatta snitchMafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
Nelson Mandela pia ana Nobel peace prize
Nyerere ako na nini?...nyerere ni sawa na kina kenyatta, Mugabe etc ni vile alikufa mapema
Noble prize zinatolewa na wazungu hasa kwa wale wenye interests zao unategemea Che Guevara, Mao, Castro, Lumumba, Kwame, etc wapewe tuzo na hao makaburu wakati walikua wakiua maslahi yao?Mafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
Nelson Mandela pia ana Nobel peace prize
Nyerere ako na nini?...nyerere ni sawa na kina kenyatta, Mugabe etc ni vile alikufa mapema
mtu kuwa na nobel prize ndio kigezo cha kuwa mashuhuri?. mbona unakuwa na mitazamo ya kijinga?.Mafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
natonNoble prize zinatolewa na wazungu hasa kwa wale wenye interests zao unategemea Che Guevara, Mao, Castro, Lumumba, Kwame, etc wapewe tuzo na hao makaburu wakati walikua wakiua maslahi yao?
Inaonesha hujui international politics na hamjui Nyerere alikua wa aina gani, Nyerere alikua akipimana kifua na makaburu wa South Africa mpaka Tanzania ikawekewa vikwazo na South Africa, Namibia, Mozambique, Rhodesia (unajua hata Rhodesia ni nchi gani?) kipindi zipo chini ya colonial rule, sasa usitegemee hawa wazungu wangempenda Nyerere sababu Nyerere alipigana nao na akawashinda hatimae hayo mataifa yakawa huru.

Ndo mana nawambie kenya bado ipo utumwani zaidi unafananisha mkombozi wa afrika na mtetezi wa haki za wanawake kisa kapewa tuzo na wazungu huvi Kenya shuleni mnafundishwa nini.Mafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
Nelson Mandela pia ana Nobel peace prize
Nyerere ako na nini?...nyerere ni sawa na kina kenyatta, Mugabe etc ni vile alikufa mapema
point ya mwisho imefanya nicheke sana kaka..... dah wewe sio mtu mzuri.Ndo mana nawambie kenya bado ipo utumwani zaidi unafananisha mkombozi wa afrika na mtetezi wa haki za wanawake kisa kapewa tuzo na wazungu huvi Kenya shuleni mnafundishwa nini.
Naamini Kenya hata mtetezi wenu wa haki za mashoga akipewa Nobel mtasema ameacha legacy Kenya

Umemaliza mkuu.Noble prize zinatolewa na wazungu hasa kwa wale wenye interests zao unategemea Che Guevara, Mao, Castro, Lumumba, Kwame, etc wapewe tuzo na hao makaburu wakati walikua wakiua maslahi yao?
Inaonesha hujui international politics na hamjui Nyerere alikua wa aina gani, Nyerere alikua akipimana kifua na makaburu wa South Africa mpaka Tanzania ikawekewa vikwazo na South Africa, Namibia, Mozambique, Rhodesia (unajua hata Rhodesia ni nchi gani?) kipindi zipo chini ya colonial rule, sasa usitegemee hawa wazungu wangempenda Nyerere sababu Nyerere alipigana nao na akawashinda hatimae hayo mataifa yakawa huru.
Eti wakenya ni bora EAC labda hawa tunaobisha nao humu hata awali hawajafikapoint ya mwisho imefanya nicheke sana kaka..... dah wewe sio mtu mzuri.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mtetezi wenu wa haki za mashoga nae yuko mbioni kupewa Nobel matafanyanisha na huyó wanghari nani ni bora zaidiUmemaliza mkuu.
Hivi zile ndege za WFP zimajezana hapo JKIA zinafanya nini?JKIA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ina maana hii kenya hakuna!Hilo sio a matter of discussion in Tanzania, na hata kama unataka ardhi kuipata sio issue kwa kila namna kuanzia bei na sehemu ya kununua.
Nikuulize swali mkikuyu anaweza kwenda ujaluoni kabisa mle ndani akataka ardhi na akauziwa??
Tanzania kabila lolote linaweza kumiliki ardhi hata iliyokua ya chief wa kabila tofauti na lake na akapokelewa kama ndugu yao na wakampa ardhi tani yake atakayo tena akiamua kukaa nao hapo ndio watakua wanampa kipaumbele kwenye masuala yao yote hapo iwe sherehe au shughuli yoyote lazima ashikirikishwe kikamilifu.
Hiyo ndio Tanzania Nyerere aliyoiacha sisi Tanzania sio kwenye makabila tu hata dini Christmas utakuta wa Islam nao wapo kwenye majumba ya wakristo wanakula kuku Eid nayo wakristo utawakuta kwenye majumba ya wa Islam wanakula pilau kwenye misiba mtu akifa ni kijiji au mtaa mzima tena gharama za msiba wanachangia wanakijiji
au mtaa uliopo wooote bila kujali chochote watu watakula na kusaza siku zote za msiba na mazishi huo mtaa kama msiba ni wa kusafirishwa kwenda kuzikwa kijijini kwao majirani wako lazima wachange nauli waende na matehemu mpaka kijijini kwao huko interior wamzike kisha ndio warudi waendelee na maisha kumbuka hao sio ndugu zako wa kuzaliwa ni watu tu wa mtaani kwako.
Kwenye sherehe kama harusi mtaa wote wanakuchangia pesa za harusi watu wanajimwayamwaya wote kula bata yaani Tanzania ni full kujiachia ndio faida za ujamaa (brotherhood) wote tunashirikiana pamoja kwenye shida na raha kama ndugu.
Hiyo ndio legacy ya Nyerere





Pata hiki kibwagizo Nyerere alikua anaikoromea mpaka Britain (sio kwa maneno tu mpaka actions strongly) kwa masuala ambayo hata hayaihusu Tanzania, kwa kifupi Tanzania imetoa billions of dollars kuifanya southern Africa kuwa huru sasa mnavyomfananisha na gardener ni laana mnajitafutiaMafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
Nelson Mandela pia ana Nobel peace prize
Nyerere ako na nini?...nyerere ni sawa na kina kenyatta, Mugabe etc ni vile alikufa mapema
Freedom fighter kama kina Kenyatta tu...nothing more Tanzania is still an ldcMwalim Nyerere ni freedom fighter usimlinganishe na kenyatta snitch