Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

18878982_1468147393207127_2131453855093751808_n.jpg
 
Huwezi kupata heshima duniani kama unatoka katika nchi iliyojaa ukabila, rushwa, mauaji ya kiholela, njaa, slums na tofauti kubwa ya matajiri na masikini, utaulizwa nini umefanya ili kusaidia nchi yako yenye matatizo mengi na ya msingi kama hayo.
Utamwaga emotions zako zote hapa kama mke anayejifungua lakini facts are facts
46805770517dd3fc344b128b34e61f4f.jpg
 
off cause watu sikuhizi wanavyotaka kuwa politically correct ukiwa feminist lazima watakupa nobel price.
 
What has he done??? Wangari has a Nobel peace prize ....nyerere anayo?
Nyerere alishiriki kuupinga ukoloni na utumwa wafikra kama wenu mnaosema mtu bora kwenu ni yule alipewa tuzo ya nobel na wazungu

Nlikua naambiwa tu kuhusu utumwa wa kimawazo juu ya vijana wa kikenya sikuamini kwa mchango huu uliotolewa tena na kijana wa kikenya ukoloni Kenya hautaisha kamwe
 
What has he done??? Wangari has a Nobel peace prize ....nyerere anayo?
Je alitetea maslai ya wakenya wote au tumbó lake maana Mpaka leo naskia wakenya wanavyolia juu ya umiliki wa ardhi inayomilikiwa na kina kenyatta na wazungu huku maelfu ya wakenya hawana ardhi mpaka jana nmeona video fupi ya watoto wakiishi kwa kunywa maziwa ya mbwa
 
Back
Top Bottom