much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,548
kwaiyo na wazungu nao walilithi kutoka kwa babu zao au sioHii story ya ardhi mnatowamga wapi? Nani aliwaambia wakenya hawana ardhi. Mimi ninamiliki ardhi niliyoridhi kutoka kwa bababngu ambaye pia aliridhi kutoka kwa babake (babu yangu). Kuna huwezekano kwamba babu yangu pia aliuridhi kutoka kwa babake...Continue soothing your egos. Huku kenya hatulease ardhi kutoka kwa serikali vile mnafanya huko vongolala. Huku kila mtu anakuwa mmlili wa ardhi milele na anapewa title deed ya hiyo kipande cha ardhi. Sasa kati yetu na nyie na nani ndio hana ardhi? kwa sababu nyngi mnalease from the government for certain period of time
Je jaribu kufanya yafiti ni wakenya wangapi hawana ardhi na watz wangapi hawana ardhi
Pili kasome riwaya ya mkenya mwenzenu ngugi wathiong'o kitakukomboa kutoka utumwa wa fikra nahisi kwenu kitakua kimezuiwa