Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vipi tanzania kuwa chimbuko la chakula hehe,ardhi mlonayo,rasilimali mlopewa na Mungu,iweje bado mwatapatapa kwenye lindi la umaskini,hadi category ya LDC mko ndani????
 
Kenya ingepewa vyote mlivyobavyo bila shaka hata South Africa haingetufikia,ila kwa sasa mafuta tumeshapata,na ushafishaji utapoanza namba ndio mzidi kuisoma kwelikweli
 
Vipi tanzania kuwa chimbuko la chakula hehe,ardhi mlonayo,rasilimali mlopewa na Mungu,iweje bado mwatapatapa kwenye lindi la umaskini,hadi category ya LDC mko ndani????
Hakuna masikini anayeweza kupata chakula cha kutosha, mwenye makazi na malazi, mwenye kupata maji safi na salama, ukosefu wa hayo matatu ndiyo tunaita umasikini, Kenya yote hayo ni shida kubwa.

Kuhusu ardhi, hata ninyi mnayo ardhi ya kutosha kama mngeigawanya kwa haki, vipi mnaongoza ktk kuzalisha chai na maua, kwanini msizalisha chakula?, sera zenu mbovu za uchumi wa kibepari ndizo zinaxowafanya muione ardhi kubwa Tanzania.
 
IN LDC COUNTRY TANZANIA-2018

0f33f72b4ba81e72f92dce7cc010429f.jpg
f7b161503ad4f3c10efc35627cdb2cea.jpg
ae283e1b44a939c60856d1d11b6622f7.jpg







IN D C COUNTRY KENYA-2018

daecafeb642c60ae0f21306bb9b850bd.jpg
 
Kenya ingepewa vyote mlivyobavyo bila shaka hata South Africa haingetufikia,ila kwa sasa mafuta tumeshapata,na ushafishaji utapoanza namba ndio mzidi kuisoma kwelikweli
Hata mngepewa Ardhi ya Africa nzima, ingechukuliwa na watu wachache kama ilivyo South Africa. Kwa jinsi ulivyomwendawazimu, unaisifia SA kwa kuangalia economic na maendeleo ya miundombinu, lakini hutazami ni watu gani wenye kufaidika na mambo hayo, hapo ndipo tunapotofautiana kati yetu na ninyi. Sisi tunajenga maendelea ya watu"people centered economy
", ninyi mnatazama sana maendeleo ya vitu, ndiyo sababu mnafikiria sana Flyovers kuliko upatikanaji wa chakula na maji kwa ajili ya matumizi ya wananchi.
 
they are eating their own words.... halafu sisi tukiwaita majobless wanatukasirikia.

5b5ba6ed018fa977d69011fd63f00b3f.jpg
0f66df3f94c35b7fce3ce6164313fbe2.jpg


NB:
maisha ya kuishi bila kuwa na job ni hatari.

pia kuishi katika nchi ambayo ina fursa chache kwa ma-youth kujiajiri ni hatari sana....ndio maana wengi wao wameamua kuwa wakora wakifanya ukora wao maeneo ya nairobi CBD.
 
Kadoda hivi wewe umeajiriwa na serikali ama umejiajiri mwenyewe?
Huku nako unataka kujenga hoja ili kuhalalisha sera mbovu za uchumi wa kibepari mlizorithi toka kwa wakolono?. Employment inahusisha kazi yoyote halali inayofanywa kwa lengo la kujipatia kipato halali, haina maana kuajiriwa pekee, kwa taarifa yako, watanzania wengi wamejiajiri katika private sector, hasa katika sector ya kilimo, ninyi ardhi kubwa imechukuliwa na viongozi wenu na mabepari, lazima unemployment iwe kubwa sana, na bado mnatetea ubepari kwasababu imetengeneza matajiri wachache na kujenga Malls nyingi hapo Kenya.
 
Back
Top Bottom