Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tanzania hatutaki ujinga....tayari tumemweka mahali salama...akafanyie ule ujinga wake polisi.


laiti kama huyu fala angekuwa kenya, ange-trend mwezi mzima kwenye page zao na wanasiasa wangemtafuta ili wapige naye selfie.

bec52c66645f1f61ef41d5624e196fb4.jpg
8dc8bb16cf836b262307f3abe243c3ab.jpg



that green ugly canvas is a police uniform....smh .Ugly colour material and design
 
Pwagu kapata pwaguzi! At last Total SPA has come back to its senses. The Hoima-Lokichar-Lamu route is the most viable one due to the combined Uganda and Kenya oil load.
hoima to tanga oil pipe line hio isahau ndugu, ni baada kuona tullow ameyumba na bado anasuasua juu ya ujenzi wa bomba la mafuta kutoka lokuchar kwenda lamu, mukamuomba total aje kunusuru hio project, labda nikupe hesabu rahisi tullow alishaona kujeng pipeline from lokichar to lamu ni hasara kwake, yani ajenge pipeline 750 km alaf uwezo wa kusukuma mafuta 2000 barrels per day alaf mafuta yenyewe yako 663m barrels, tumia akili ya kimahesabu tu, 😀😀😀😀😀 makampuni ya nje yapo kimaslahi sio kwa ajili ya sifa, tullow alishaona hasara ndio maana anawazungusha mukaamua mumuombe total awasaidie, so total pia hawezi kufanya kazi ya hasara, poleni sana inauma sana😛😛😛😛

tulimaliza kwenye bomba sasa tunataka kumaliza kwenye SGR, rwanda tayari bado tumalizane na uganda na kumbuka without uganda kenya SGR is white elephant
 
kibiti.....insecurity
Tanzania nayo gap ni between poor and poorer

I saw you also have a 4 trillion external debt

One million hopeless Tanzanians do odd jobs in Kenya to survive. ..mmhh

lastly....is it safe enough for Tundu Lissu to come back......hahaha
kenya leads in africa kwenye swala la gap between of rich and poor

tanzania debt is just 36% while kenya is 60% n nimeskia mumefkia hatua ya kukopa deni alaf munalipa deni😀

kenya unemployment is over 43% while tanzania is 12% huku population of tanzania is more by 7m people

kenya below povety line is 46% while tanzania is 22%

kenya inflation is over 11% while tanzania is just 4%

kwenye swala la security nakupa pole sana 😀😀 nafkiri moyo wako unakusuta hapo ndipo tribalism ilipowafkisha
 
that green ugly canvas is a police uniform....smh .Ugly colour material and design

njoo tz ulete ujinga yako ya kikenya uone vile tz police watakufanyanga.
green uniform utaona white.

if color of the police uniform is of great deal in protecting civilians and their properties, there wouldn't be muggers in your CBD who ere terrorising people.

0b4e1e5d8c85617ad155cb772143cc76.jpg
 
wakati wakora na majobless ya nairobi yakiwa bado yamelala yakisubiri kukuche ili yaelekee CBD kupora watu simu, handbags and other items, mimi nimeamka tangu 05:15 AM na sasa ni 05:36 AM "nipo zangu kwa barabara" nikielekea katika shughuli zangu halali za kulijenga taifa.

hapa kazi tu....porojo tumewaachia wakenya.

9206b8736368cdb6e38deb9c3677a248.jpg
 
tanzania hatutaki ujinga....tayari tumemweka mahali salama...akafanyie ule ujinga wake polisi.


laiti kama huyu fala angekuwa kenya, ange-trend mwezi mzima kwenye page zao na wanasiasa wangemtafuta ili wapige naye selfie.

bec52c66645f1f61ef41d5624e196fb4.jpg
8dc8bb16cf836b262307f3abe243c3ab.jpg


anakaa kadoda
 
Back
Top Bottom