Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

he had his bad side, but at least katuachia umoja, upendo na mshikamano miongoni mwetu... pia alilinda rasilimali zetu zisitafunwe na wachache.

kenyatta senior kawaachia ukabila, pia yeye na watu wake wa karibu walihakikisha wanapora ardhi kubwa ya kenya na kujimilikisha wao wenyewe.
We care less .....we work hard
 
ukosefu wa ajira kwa ma-youth umeifikisha nairobi katika hali hii.

mapanyaroad (muggers) yametapakaa kila kona ya cbd hali ni mbaya sana.
7d4c512b9dac08ed73b5b33b8a067d79.jpg
2c4a6a1a5151ba343054cf375b44769c.jpg
though mimi walinijaribu once hapo mfangano lane......niliweka nyangau ngumi ya tumbo
 
Back
Top Bottom