Egypt ni habari nyingine kaka, kimuondombinu Egypt haifanyi catch up na miundombinu ya kizamani ya miji za US,tunavyoongea hivi sasa Egypt inajenga miundombinu ya dunia ya leo inayojengwa kama kwene miji za China n some cities in middle east.
Hii hapo walizindua hivi karibuni the largest millitary HQ on earth. 👇🏾 ipo kwenye mji wao mpya New Cairo. YouTube hiyo New Cairo n get to see what they are really doing there , halafu uje uniambie hapa kama upo mji wowote wa US wenye uko na hizo standards zenye wanaweka pale
View attachment 3665159..