Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kusoma unajua kaka.? 😂😂😂😂 huoni project iliyopo hapo sio nilioiweka mimi, and the post clearly states that the project you posted is completed.. 😂😂😂
Project inaitwa empire tower. Simba developers wako na Empire tower moja na ni hiyo nimepost. Weka hapa link ya hiyo empire tower yako maanake unakana yangu.😂😂
 
Project inaitwa empire tower. Simba developers wako na Empire tower moja na ni hiyo nimepost. Weka hapa link ya hiyo empire tower yako maanake unakana yangu.😂😂
Kaka kumbe kusoma tu hujui, sasa kwanini tunabishana.? 😂😂😂.. hebu nionyeshe kutoka kweme hii post yako project niliyopost mimi.👇🏾😂😂😂
Ndio hii Website yao bradhee.😂😂😂
Project ilishaisha na ni 15 floors. Wewe ni muongo sana Samaboyi.View attachment 3661299
View attachment 3661298
 
Oky at number
11. We have empire Tower. 20 floors building in Upanga. View attachment 3661286Here is the status of the project from Simba developers website. 👇🏾View attachment 3661287
Yaani uko number 10 na umeshaanza kuhema mpaka unapost 12 floors ambayo iko complete 😅
IMG_3318.png
IMG_3319.png
IMG_3317.jpeg
 
Acheni roho mbaya wanuka mavi, kwanini mna report account zake zifungwe.? 😂😂😂
Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.
Nina ushuhuda kupitia Facebook page yangu, imagine wanakuja kulia hadi inbox ili nipost nchi yao. 😂😂😂
Huwa nafanya kusudi napost Tanzania na nchi zingine then wao siwapost, wana vitisho vya kijinga ila huwa nawakomesha balaa.
 
Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.
Nina ushuhuda kupitia Facebook page yangu, imagine wanakuja kulia hadi inbox ili nipost nchi yao. 😂😂😂
Huwa nafanya kusudi napost Tanzania na nchi zingine then wao siwapost, wana vitisho vya kijinga ila huwa nawakomesha balaa.
😂 😂 😂 mm napenda kucrash EGO zao, because wanapenda waonekane wazungu 😂😂
 
Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.
Nina ushuhuda kupitia Facebook page yangu, imagine wanakuja kulia hadi inbox ili nipost nchi yao. 😂😂😂
Huwa nafanya kusudi napost Tanzania na nchi zingine then wao siwapost, wana vitisho vya kijinga ila huwa nawakomesha balaa.
Najiuliza sana maswali, kwanini wanatuonea wivu kiasi hawataki dunia ijue nchi yetu inafananaje.? 😂😂😂😂.
 
Najiuliza sana maswali, kwanini wanatuonea wivu kiasi hawataki dunia ijue nchi yetu inafananaje.? 😂😂😂😂.
we mzee kuna namna ya kucheza nao 😂😂 yaani the goal ni kuwasifia alafu break the whole EGO 😂😂😂 kwa mfano waambie capital of africa alafu unashusha na picha kama hii 😂😂😂
1788274658435.png
 
Back
Top Bottom