stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 36,096
- 34,865
Project inaitwa empire tower. Simba developers wako na Empire tower moja na ni hiyo nimepost. Weka hapa link ya hiyo empire tower yako maanake unakana yangu.😂😂Kusoma unajua kaka.? 😂😂😂😂 huoni project iliyopo hapo sio nilioiweka mimi, and the post clearly states that the project you posted is completed.. 😂😂😂
Kaka kumbe kusoma tu hujui, sasa kwanini tunabishana.? 😂😂😂.. hebu nionyeshe kutoka kweme hii post yako project niliyopost mimi.👇🏾😂😂😂Project inaitwa empire tower. Simba developers wako na Empire tower moja na ni hiyo nimepost. Weka hapa link ya hiyo empire tower yako maanake unakana yangu.😂😂
Ndio hii Website yao bradhee.😂😂😂
Project ilishaisha na ni 15 floors. Wewe ni muongo sana Samaboyi.View attachment 3661299
View attachment 3661298
Haya, weka link ya project yako. 😂😂😂Kaka kumbe kusoma tu hujui, sasa kwanini tunabishana.? 😂😂😂.. hebu nionyeshe kutoka kweme hii post yako project niliyopost mimi.👇🏾😂😂😂
Yaani uko number 10 na umeshaanza kuhema mpaka unapost 12 floors ambayo iko complete 😅Oky at number
11. We have empire Tower. 20 floors building in Upanga. View attachment 3661286Here is the status of the project from Simba developers website. 👇🏾View attachment 3661287
Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.Acheni roho mbaya wanuka mavi, kwanini mna report account zake zifungwe.? 😂😂😂
ushaanza kuona competition who is dirtier 😂
View: https://x.com/AugustinGithaka/status/2094470594775367736?s=20
😂 😂 😂 mm napenda kucrash EGO zao, because wanapenda waonekane wazungu 😂😂Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.
Nina ushuhuda kupitia Facebook page yangu, imagine wanakuja kulia hadi inbox ili nipost nchi yao. 😂😂😂
Huwa nafanya kusudi napost Tanzania na nchi zingine then wao siwapost, wana vitisho vya kijinga ila huwa nawakomesha balaa.
Anakataa sii hiyo na hawezi post the real thing. 🤣 🤣 🤣Yaani uko number 10 na umeshaanza kuhema mpaka unapost 12 floors ambayo iko complete 😅
View attachment 3661307View attachment 3661308View attachment 3661309
Najiuliza sana maswali, kwanini wanatuonea wivu kiasi hawataki dunia ijue nchi yetu inafananaje.? 😂😂😂😂.Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.
Nina ushuhuda kupitia Facebook page yangu, imagine wanakuja kulia hadi inbox ili nipost nchi yao. 😂😂😂
Huwa nafanya kusudi napost Tanzania na nchi zingine then wao siwapost, wana vitisho vya kijinga ila huwa nawakomesha balaa.
picha linaanza wanacompete nan mchafu zaidi ya mwenzake 😂😂😂Wazee wa misifa! Sasa pipeline na hiyo clip tofauti ipo wapi?
we mzee kuna namna ya kucheza nao 😂😂 yaani the goal ni kuwasifia alafu break the whole EGO 😂😂😂 kwa mfano waambie capital of africa alafu unashusha na picha kama hii 😂😂😂Najiuliza sana maswali, kwanini wanatuonea wivu kiasi hawataki dunia ijue nchi yetu inafananaje.? 😂😂😂😂.
Yaani uko number 10 na umeshaanza kuhema mpaka unapost 12 floors ambayo iko complete 😅
View attachment 3661307View attachment 3661308View attachment 3661309
Hawa walevi au. 😂😂😂😂.Anakataa sii hiyo na hawezi post the real thing. 🤣 🤣 🤣