Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro hakuna kitu huwauma wakunya kama kupost maendeleo ya Tanzania mitandaoni halafu usipost nchi yao.
Nina ushuhuda kupitia Facebook page yangu, imagine wanakuja kulia hadi inbox ili nipost nchi yao. 😂😂😂
Huwa nafanya kusudi napost Tanzania na nchi zingine then wao siwapost, wana vitisho vya kijinga ila huwa nawakomesha balaa.
Nina uhakika hicho kipage chako unapost Kenya sana ila unaipost in negative light kama ilivyo kawaida yenu. Kama nadanganya hebu kiweke hapa tuchambue.
 
Unaona madhara ya kutofanya research vizuri 😂😂😂
1788274817236.png

View: https://x.com/ntvkenya/status/2094651478229274753?s=20
 
Nchi yao ikipostiwa huwezi kuta Mtanzania akishoboka ila sasa subiri Tanzania ipostiwe. 😂😂😂
ndo vizuri so that you can crash them vizuri, si hawataki tz iendelee 😂😂😂😂 BTW they call themselves the US of EAC sasa sisi tunawaita ivo ivo alafu unafunga boda hakuna maindi kupita, 😂😂😂next day wapo barabaran raila must go 😂😂😂
 
ndo vizuri so that you can crash them vizuri, si hawataki tz iendelee 😂😂😂😂 BTW they call themselves the US of EAC sasa sisi tunawaita ivo ivo alafu unafunga boda hakuna maindi kupita, 😂😂😂next day wapo barabaran raila must go 😂😂😂
Unataka wapige magoti hadi Dodoma kama kawaida yao tukizuia Mahindi! 😂😂😂
 
Hawa walevi au. 😂😂😂😂.

Project hii hapa. 👇🏾View attachment 3661310here is the renda. 👇🏾View attachment 3661313View attachment 3661318View attachment 3661319zinafanana.? Ukiingia website unaletewa hii. 😂😂😂
Nilijua kuna kitu unaficha.😂😂
Mwanzo Jina Lake sii Empire tower ni great homes.
Pili kijengo chenyewe ni 15 floors.😂😂
Wakenya sii Bongolala Mr. Mbilikimo.😂😂
Ndio hizi screenshot na link.😂😂
383450.png
383449.png
 
Unataka wapige magoti hadi Dodoma kama kawaida yao tukizuia Mahindi! 😂😂😂
ndo vizuri so that you can crash them vizuri, si hawataki tz iendelee 😂😂😂😂 BTW they call themselves the US of EAC sasa sisi tunawaita ivo ivo alafu unafunga boda hakuna maindi kupita, 😂😂😂next day wapo barabaran raila must go 😂😂😂
Nionyesheni video moja tu ya Wakenya wakilalamika eti wamefungiwa mahindi ya bongoland nitoke hili jukwaa. Mimi nawapa hapa Watanzania wakilalamika Kenya kuzuia wasiuze mahindi yao Kenya.

View: https://www.youtube.com/watch?v=dfGxOsa0Xps
 
Back
Top Bottom