Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu uwanja inafaa ibadilishwe tu jina iitwe cabros international stadium 🤣🤣🤣🤣
Very poor workmanship from the contractor.

Cha ajabu ni kwamba wanyamwezi are sweating over Talanta while they'll be walking on cabros kule msituni 😂😂
did you know the cost of samia stadium is $0.1B 😂 😂 but do you know this cowshed below is $1.3B(excluding inflation) 😂😂 and it has no future after AFCON

View: https://x.com/Wiki_Kenya/status/2088005465011818978?s=20
 
Kingine hiki hapa kipya fresh kutoka jikoni 🤣🤣
1000377754.png

Masidisi benzi cabros international stadium 🤣🤣🤣
 
Nicxie hatujamalizana, ulisema umemaliza kusoma wakasema ni nn na nn tena
1787435317762.png

kwa lugha nyepesi waliokua wanajua stadium ni nn waliita hii cowshed beseni 😂😂😂😂
 
MAWAZO YA UWANDISHI WAKO BADO NI MGANDO - Huwezi kuandika hoja nzito kama hii bila kupangilia hoja zako kwa mantiki ya msingi kama msomi mzuri - Unakuwa kama hujataka kuandika andiko kama msomi huru nadhani ujitafakari mwandishi kwa hilo maana upo very poor kabisa katika andiko lako unakuwa kama sio msomi au mtu umeenda shule kabisa .....
 
Back
Top Bottom