Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Machina kadinda kuweka hata VIP sections wewe uko hapa na kujifariji na VVIP section ya Talanta 😂 😂 😂 😂
Hubu tuonyeshe VIP section ya suluhisho stadium tucheke kidogo 🤣 🤣
saaaahv inaitwa VIP section 😂😂😂 ule mdomo wa skybox ulikua unatoa wap? au ndo mdomo wa $1.3B
1786354835070.png
1786547457606.png
1786547457606 (1).png
1786547472889.png
1786547493286.png
1786547561005.png
 
Skyboxes all over the world are located on VVIP sections kijana wa Tandale. Nway, utaelewaje hizo mambo wakati suluhisho stadium haina hata VIP section. Sasa mambo kuhusu VVIP ndio utaelewa?

Hajakosea, ni hawa mbulu kenge hawajui tafauti ya skyboxes na vip boxes, mchina kajenga VIP Boxes, there are more of offices than sehem za kuangalia mpira sasa wakina mwaiofhawaii wallidhan wanajengewa hizi

View attachment 3609880

kwan Nicxie mwanzo midomo ilikua ya nn sasa 😂 😂 😂 😂
 
Skyboxes all over the world are located on VVIP sections kijana wa Tandale. Nway, utaelewaje hizo mambo wakati suluhisho stadium haina hata VIP section. Sasa mambo kuhusu VVIP ndio utaelewa?
we can be fair to you because all you know ni kipchoge keino 😂 😂 dakika za mwisho kabisa unakuja kukubali 😂😂😂😂 the same way we were saying the stadium is ugly 😂😂😂😂


View: https://x.com/K24Tv/status/2091062914174124446?s=20
 

I have never seen a desperado like you in my life. The article clearly compares foldable seats between Talanta and Amahoro, kitu ambacho maku yenu kule Arusha haina hata moja. Hivi, unajielewa kweli Nyamwezi or you are just putting on a brave face after getting the disappointment of your life kule msituni where you predicted the whole stadium to have foldable seats?😂😂
 
Skyboxes all over the world are located on VVIP sections kijana wa Tandale. Nway, utaelewaje hizo mambo wakati suluhisho stadium haina hata VIP section. Sasa mambo kuhusu VVIP ndio utaelewa?
alafu mbna hutuambii article imesemaje kuhusu lighting za nje, accessibility 😂😂😂😂 unajua @tearg
has been branding it the longest ebu mwambie article inasemaje
 
I have never seen a desperado like you in my life. The article clearly compares foldable seats between Talanta and Amahoro, kitu ambacho maku yenu kule Arusha haina hata moja. Hivi, unajielewa kweli Nyamwezi or you are just putting on a brave face after getting the disappointment of your life kule msituni where you predicted the whole stadium to gave foldable seats?😂😂
nn kingine wamesema uko mbna unaruka tena sehem nyingi
1787432554753.png
 
So Nyamwezi you expect skyboxes zijengwe in ordinary sections?

Uwanja wenu kukosa VIP and VVIP sections sio kosa letu Nyamwezi.
wewe na Teargass tafauti yenu ni joto tu 😂 😂 alafu sema kimoyo moyo ngong cowshed is ugly 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1787432708134.png
 
By the way hiyo stadium Yao is like is made of cabros everywhere.

View attachment 3655355
Huu uwanja inafaa ibadilishwe tu jina iitwe cabros international stadium 🤣🤣🤣🤣
Very poor workmanship from the contractor.

Cha ajabu ni kwamba wanyamwezi are sweating over Talanta while they'll be walking on cabros kule msituni 😂😂
 
Back
Top Bottom