Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakumbuka wakiandika propaganda mitandaoni ati Watanzania ni lazy, siku hizi wameacha baada ya kujua ukweli. 😂😂😂
Washukuru internet na wengi wanafikiri ni muamko wa hivi karibuni hawajui watanzania by nature ni wapambanaji na ndio msingi mkuu wa siasa ya ujamaa na kujitegemea kinyume na siasa zao za kuzunguka na certificates uhuru park tumboni minyoo wa kibepari wanamtafuna alive 😂😁
 
Washukuru internet na wengi wanafikiri ni muamko wa hivi karibuni hawajui watanzania by nature ni wapambanaji na ndio msingi mkuu wa siasa ya ujamaa na kujitegemea kinyume na siasa zao za kuzunguka na certificates uhuru park tumboni minyoo wa kibepari wanamtafuna alive 😂😁

Kuna walioenda mang'ola kwenye vitunguu ,wameapa kuachana na ukulima wa vitunguu , maana hawataweza shindana na mkulima anayetumia pump ya umeme wakati wao wanategemea diesel.😭😭😭.
Halafu eneo lenyewe ni kavu sio Yale potential kama song we
 
“Kutembea kwingi kuona mengi,” so they say.

Last week, my team and I found ourselves in Dodoma and then Arusha, Tanzania.

We had gone to meet the love of our lives: onions.

But first, we went to Nane-Nane in Dodoma. Later, we headed to Kibaigwa, where Madam Ghati, one of the most serious farmers in Tanzania, helped us tour several tomato farmers in the area.

Madam Ghati is so serious that last year, she made the impromptu trip to our Agitech Grand Expo in Mwea. Having experienced the distance from Dodoma to Arusha, a 5-hour drive, it was hard not to be impressed by her dedication last year.

So we toured tomato farms in Kibaigwa and Mkoa wa Dodoma generally, where we also made new friends.

Then, on Tuesday evening, we made the trip back with the objective of touring onion farms in Singida and Mang’ola.

Our host in this area, however, informed us that there is no significant onion farming going on in Singida at this time, and so we rerouted to Mang’ola.

Mang’ola is a place where bulk onions are produced.

Let me tell you, Maina, the amount of land under production of onions is staggering.

The land, the weather, the water, the labour and even the government all work together to support the Tanzanian farmers' journey into wealth wonderfully.

Interestingly, very little of the farming we saw was happening near rivers.

In Arusha and even Dodoma, the climate hovers between arid and semi-arid.

Farming is by boreholes. A borehole can cost KES. 300,000 in some areas. We found farmers with three or four boreholes especially when farming at scale.

Another interesting fact is that there were very few diesel engines on the farms we visited. Electricity was everywhere.

Being connected to the national grid appeared considerably easier than what many Kenyan farmers experience. Even in remote areas, as long as there is a farmer, the government gets power to you.

In most cases, and it is allowed, farmers buy their own transformers and the government connects them to the national grid.

Then, pesticides.

All I will say is this:

If our government has banned certain chemicals in Kenya because they are considered unsafe, then it is reasonable to ask whether produce imported from countries where those chemicals are still used is being adequately tested for the relevant MRLs.

I also have a bone to pick with the Tanzanian farmer: pesticide containers.

We found them everywhere.

You kicked empty pesticide bottles on your way to many of the farms. It worked to our advantage because it gave us a glimpse into some of the active ingredients being used.

As one of our hosts said:

“The easiest way to wealth in Tanzania is to farm onions and tomatoes.”

And after what we saw, I understand why she said it.

The Kenyan farmer has a problem. No matter how hard we work or how educated we are, we are simply comparatively disadvantaged compared to the Tanzanian farmer.

It is one thing to hear from third-parties about how Tanzanian onions will be flooding the Kenyan market within the next 6 months.

It is another very scary thing to actually see the thousands of acres of onions barely 3 hours from the Kenyan border.

Then to see hundreds of FRRs full of Tanzanian onions raising dust headed to the Kenyan market.

It makes you think,

“Why bother? I cannot compete with this.”

To Kenyan farmers, if your strategy was to work harder.

You will need to re-think. You must become smarter, more strategic and most importantly, choose your crops very wisely.View attachment 3654398
Wapo wanaojua hali halisi, hasa watembeaji, achana na hawa wanaokaza fuvu.

Screenshot_20260821_234133_X.jpg
 
Washukuru internet na wengi wanafikiri ni muamko wa hivi karibuni hawajui watanzania by nature ni wapambanaji na ndio msingi mkuu wa siasa ya ujamaa na kujitegemea kinyume na siasa zao za kuzunguka na certificates uhuru park tumboni minyoo wa kibepari wanamtafuna alive 😂😁
Ndio maana siku ile walikuwa wanabisha kuwa watengeneza chips hawapigi faida. 😂😂😂
 
Don’t you have dishes to wash for your mama ?.. you definitely don’t pay rent …😆😆😆…
Sasa hii ni nini unapost ?…
Ati Longest mountain in Africa is in Tanzania?… who told you that ?..if I can recall my Primary school Geography, the longest mountain in Africa is the Drakensburg ranges in South Africa.. Now you know ..🤪

View: https://x.com/ntvkenya/status/2089702604486144494?s=20

nakuquote
"i once stayed at gleen hotel for the whole month, i wonder what happend"

View: https://x.com/C_NyaKundiH/status/2089940032505188556?s=20
 
fool do u know almost all gold mines have private airstrips?
Geuza blanketi ulale. Bongolala wewe.

You are proud that wazungu wameweka gravel kwa vichaka, wakaiita runway. Flying private planes from their mines directly to South Africa for the gold to be transformed into electronics, jewellery and other expensive products?

Nyinyi the best you can produce ni vitunguu?

And as it was pointed out, hilo swala la vitunguu lazima tuchunguze.
Haiwezekani tumezuia wakulima wetu Kenya kutumia cheap toxic chemicals, bidhaa zao zikiingia soko haziwezi compete juu ya bei ya kuzalisha.
Yet bongolala jirani yetu want to kill us with poisons used to kill snakes, kwa jina ya kuwa cheap.

LDC hamna capacity ya regulation. Wacha matajiri wamfunze. Soon utaiskia bunge.
We will regulate toxic chemicals for you.
Hizo lorry za vitungu zitapiga u-turn Namanga very soon.
 
Wapo wanaojua hali halisi, hasa watembeaji, achana na hawa wanaokaza fuvu.

View attachment 3654597
Huyu na followers wake 160, he is a nobody in Kenya. First I'm even hearing of this company.
Amekuwa felya Kenya, sasa anajaribu bongolala kwa wajinga.

Nairobi is the New York of this region. If you can make it here, you can make it anywhere.
The reverse is also true. Few bongolala or EAC companies can match the strength of their Kenyan competition.

That's why many Kenyan companies succeed in your madafu economy, while the few bongolala companies that dare venture into Kenya like your LPG guy, need government guarantees and protections just to ensure profitability.
Other than Azam, which is still making huge loses in Kenya both in TV and in beverages (Almost no one watches or drinks Azam in Kenya), you have nothing else.

Actually, our only competition comes from the Boers down south.
 
Geuza blanketi ulale. Bongolala wewe.

You are proud that wazungu wameweka gravel kwa vichaka, wakaiita runway. Flying private planes from their mines directly to South Africa for the gold to be transformed into electronics, jewellery and other expensive products?

Nyinyi the best you can produce ni vitunguu?

And as it was pointed out, hilo swala la vitunguu lazima tuchunguze.
Haiwezekani tumezuia wakulima wetu Kenya kutumia cheap toxic chemicals, bidhaa zao zikiingia soko haziwezi compete juu ya bei ya kuzalisha.
Yet bongolala jirani yetu want to kill us with poisons used to kill snakes, kwa jina ya kuwa cheap.

LDC hamna capacity ya regulation. Wacha matajiri wamfunze. Soon utaiskia bunge.
We will regulate toxic chemicals for you.
Hizo lorry za vitungu zitapiga u-turn Namanga very soon.
Ama tuchome vitunguu kwa mpaka ka Mangufool alivyochoma vifaranga vyetu … that would be poetic justice…😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom