naliamsha dude kidogo la rafiki zangu wakenya:
shikamoo wakikuyu...hakika wakikiyu sio watu wa mchezo.
wakati nyumba nyingi binafsi za dar es salaam zinamilikiwa na watanzania mbalimbali toka katika makabila yote ya tanzania,hali ni tofauti kwa nairobi.
aslimia 95 ya nyumba zote za kupanga jijini nairobi, zinamilikiwa na wakikuyu.
wao ndio "ma baba wenye nyumba na wa mama wenye yumba" wa apartment zote ambazo wakenya wa makabila mengine yote wamepanga pale nairobi.
nauliza wakenya, kwanini mliruhusu hali hii kutokea?. hamdhani kwamba kwa hali hii mmetoa nafasi kubwa ya kutawaliwa na watu toka katika jamii moja kwa mda mrefu?.
hizi ni baadhi ya apartment za mkikuyu katika mitaa mbalimbali ya uswahilini ya nairobi.
na ifahamike tu kwamba, hawa wakenya wote wanaopiga kelele hapa jf kuhusu nairobi, landlord wao ni wakikuyu.