joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Wewe ni miongoni mwa wakenya wengi sana wajinga, na mtaendelea kutawaliwa na kabila moja miaka yote kwa sababu ya ujinga wenu usio kwisha. Sisi sio wapumbavu kama ninyi, sisi hatukimbilii kutafuta mamilionea kama ninyi wajinga, ninyi sera zenu zinafanana na makuburu wa Afrika kusini ambao mlikua rafiki zenu, ambapo 85% ya uchumi wote wa South Africa upo mikononi mwa 15% ya population ya South Africa ambao ni wazungu, Kenya 62% ya uchumi wenu upo mikononi mwa watu 8300, wajinga kabisa ninyi.If Kenya had such resources as TZ has,can you just imagine how many millionaires it would have minted!? I'm always shocked that Tz millionaires are not in their tens of thousands!
Hizi mali asili tulizonazo n kwasababu nchi imezitunza na zinavunwa kidogokidogo ili kuakikisha zinatumika vizuri kwa faida ya watu wote, tungeachia kama ninyi, ungekuta tuna milionea 8300, lakini watanzania wengi wangeishi kana ninyi huko Kibera na wengi wangekufa kwa njaa kwasababu arable land yote ingekuwa mikononi mwa milionea wachache. Ninyi wakenya ni watu wajinga sana, maisha yenu hayo ya hovyo ya kuibiana na ubinafsi wa kila mtu kujilimbikia mali zaidi mnadhani watu wote hapa duniani wapo kama ninyi, wajinga wakubwa Mzee Kenyatta alijilimikizia mali, kwa ujinga wenu mumemchagua mtoto wake aliyerithi mali zilizodhulimiwa na babake ili aendelee kuwaibia, ndiyo sababu anaendelea kuwapa tenda ndugu zake, hovyo kabisa ninyi.
