You are so full of anger my friend. That is our internal problem and we know how to deal with it as an internal matter so isikuume sana. But come to think of it, despite all that you have said above why have we still managed to stay ahead of you in all spheres of life yet 'hamna' matatizo ya kikabila kama sisi. For your information, we only differ along tribal lines during elections but after that we remain a united and steadfast nation working towards achieving a comon goal. I am from Nyanza and dating a lady from central so in case you thought our differences is a grave matter, you are in for a rude shock. Kazi tunachapa pamoja kama wakenya ndio maana tuko mbele yenu kimaendeleo
Nimefanya kazi hapo Nairobi kama mfanyakazi wa shirika la wamarekani, ninafahamu jinsi mnavyobaguana kwa misingi ya ukabila katika sectors zote, kuanzia elimu, ajira, maeneo ya kuishi watu na hata katika nyumba za ibada, kwahiyo acha kutudangaya kwamba ubaguzi ni wakati wa uchaguzi pekee.
Kuhusu maendeleo, Tanzania ipo mbali sana na kamwe hamuwezi kuifikia tena. Kwetu tunapima maendeleo ya nchi katika mambo yafuatayo,
1)Uwezo wa wanainchi kupata lishe bora
2)Uwezo wa wananchi kuwa na makazi yenye hadhi ya kuishi binadamu
3)Uwezo wa wananchi kupata matibabu bora
4)Upatikanaji wa ajira kwa wananchi walio wengi
5)Kupungua kwa kiwango cha umasikini miongoni mwa wananchi
6)Kupunguza tofauti ya kipato kati ya masikini na tajiri
Katika hayo, onyesha ni wapi Kenya imeizidi Tanzania?. Au wewe sema maendeleo ambayo unayasema wewe ni yapi?