Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The lakeside city
4288.jpg
 
garisa county hata uniambie utalipa
tsh3000000(usd1320) kwa mwezi kama mshahara, siwezi enda ishi.

hii ni moja ya zile county za kenya ambazo hujui kesho yake mtaamka mkiwa katika hali gani kiusalama.

uhakika wa usalama ni asilimia ndogo sana. huwa nawaonea huruma sana wale wakenya toka county zingine wanaopangiwa kwenda kuanza ajira katika county hii.


$1320 per month ndio pesa nyingi kwako? lol. Na kila siku uko humu kuponda watu.
 
If Kenya had such resources as TZ has,can you just imagine how many millionaires it would have minted!? I'm always shocked that Tz millionaires are not in their tens of thousands!

Haha! If wishes were horses...
Mlolongo ule ule ungeendelea, familia ya Kenyatta, Kibaki, Moi na wengine wacheche wangekuwa matajiri zaidi.
 
Sisi 'hatuna dira kamilifu' lakini ajabu ni kwamba tumewashinda kiuchumi na kimaendeleo. Iweje tena taifa ambaĺo halina dira kamilifu inashinda ile iko na dira kamilifu?
Kama maendeleo ni hayo ya njaa, umasikini, slums, unemployment, corruption na tribalism, basi ninyi kweli mpo mbele yetu, ila kwa vigezo vingi vya kidunia mpo nyuma sana.
 
$1320 per month ndio pesa nyingi kwako? lol. Na kila siku uko humu kuponda watu.
kwani kima cha chini cha mshahara kwa mkenya wa kawaida ni shilingi ngapi?.

tuanzie hapo kwanza halafu tuje tuijadili $1320 kwa matumizi ya kenya na tanzania.
 
Kama maendeleo ni hayo ya njaa, umasikini, slums, unemployment, corruption na tribalism, basi ninyi kweli mpo mbele yetu, ila kwa vigezo vingi vya kidunia mpo nyuma sana.
Ndugu yangu, you can yap all you want but it's not rocket science that your country is an ldc while Kenya is not. These two countries are worlds apart. Najua ni ngumu sana kukubali kwamba tumewashinda kimaendeleo lakini huo ni ukweli ambao hautawahi badilika regardless of what you say here on jf.
 
Haha! If wishes were horses...
Mlolongo ule ule ungeendelea, familia ya Kenyatta, Kibaki, Moi na wengine wacheche wangekuwa matajiri zaidi.


just wondering....if 2 Kenyan tribes have produced presidents out of 45......Tanzania too has 3 to 4 tribes having produced presidents out of 120 tribes.....yet they troll us as if all the 120 tribes have produced presidents......mmhhh.

rings a bell.........
 
just wondering....if 2 Kenyan tribes have produced presidents out of 45......Tanzania too has 3 to 4 tribes having produced presidents out of 120 tribes.....yet they troll us as if all the 120 tribes have produced presidents......mmhhh.

rings a bell.........

Unachotaka kulinganisha hakilinganiki...mmekuwa na maraisi wakikuyu watatu, wewe huoni kuna shida hapo?
 
just wondering....if 2 Kenyan tribes have produced presidents out of 45......Tanzania too has 3 to 4 tribes having produced presidents out of 120 tribes.....yet they troll us as if all the 120 tribes have produced presidents......mmhhh.

rings a bell.........
marais watatu wakikuyu na mkalenjin mmoja...na inasemekana atakayefata after uhuru lazima atatoka kikuyu/kalenjin community.
 
I am surprised you guys still argue with Tanzanians, I bet it is a waste of time. Arguing with people who dismiss facts for blind patriotism, instead of accepting facts and learning from reality. It is like me arguing that Kenya is more developed than Botswana or Namibia, truth of the matter is that Kenya's economy is bigger than Botswana economy but in terms of economuc development index (which measures quality of life for its citizens, Botswana and Namibia are developed than Kenya). Similarly according to facts, Tanzania does not have the issue of tribalism and maybe less corrupt than Kenya but more corrupt than Rwanda, but in terms of the size economy and development (human development index) kenya is far ahead. These are the facts that one need to own upto and accept so that you can grow instead of disputing the obvious because of blind patriotism and emotions. I think the main difference between Kenyans and Tanzanians is that Kenya like to own up to their weaknesses and facts, Kenyans will agree they have a challenge of tribalism, corruption, hunger,insecurity, slums and unequal distribution of resources and as a result we come up with solutions to deal with it like through devolution and independent judiciary. Tanzanians like to believe their country is heaven with no problems and they are the best country and economy than anyone elses in Africa if not in the world. Ok let see how one goes far with such mentality even if you apply that mentality to a normal person, you will then see how he goes far in life
 
garisa county hata uniambie utalipa
tsh3000000(usd1320) kwa mwezi kama mshahara, siwezi enda ishi.

hii ni moja ya zile county za kenya ambazo hujui kesho yake mtaamka mkiwa katika hali gani kiusalama.

uhakika wa usalama ni asilimia ndogo sana. huwa nawaonea huruma sana wale wakenya toka county zingine wanaopangiwa kwenda kuanza ajira katika county hii.
Mimi ata ukanpea 1b USD siezi ishi mahali 90% ni slum ..acha ikae
5c9b24227c5d9e1cf9f97c576e0f76e7.jpg
 
I am surprised you guys still argue with Tanzanians, I bet it is a waste of time. Arguing with people who dismiss facts for blind patriotism, instead of accepting facts and learning from reality. It is like me arguing that Kenya is more developed than Botswana or Namibia, truth of the matter is that Kenya's economy is bigger than Botswana economy but in terms of economuc development index (which measures quality of life for its citizens, Botswana and Namibia are developed than Kenya). Similarly according to facts, Tanzania does not have the issue of tribalism and maybe less corrupt than Kenya but more corrupt than Rwanda, but in terms of the size economy and development (human development index) kenya is far ahead. These are the facts that one need to own upto and accept so that you can grow instead of disputing the obvious because of blind patriotism and emotions. I think the main difference between Kenyans and Tanzanians is that Kenya like to own up to their weaknesses and facts, Kenyans will agree they have a challenge of tribalism, corruption, hunger,insecurity, slums and unequal distribution of resources and as a result we come up with solutions to deal with it like through devolution and independent judiciary. Tanzanians like to believe their country is heaven with no problems and they are the best country and economy than anyone elses in Africa if not in the world. Ok let see how one goes far with such mentality even if you apply that mentality to a normal person, you will then see how he goes far in life
hawana tribalism lakini bado maskini wa kutupwa......
 
Back
Top Bottom