Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na nyie kupost railway station kila siku imekua big deal.Nyie jombaa huwa mnajisikia sana wakati ahsante mkolooni 80% mambo yaliachwa na Waingereza ndiyo yanawabeba 20% ndiyo contribution yenu

Ok,from today onwards hatutaki kuona those dwarf twin towers za Dar! Hata kwenu wakoloni walikua na hata masultan mbona hawakuwaachia hata 20% ya maendeleo!
 
b8a78d469db690ed01e69c4b0f48b0be.jpg
 
Ok,from today onwards hatutaki kuona those dwarf twin towers za Dar! Hata kwenu wakoloni walikua na hata masultan mbona hawakuwaachia hata 20% ya maendeleo!
Maendeleo kwenu ni tofauti sana na kwetu, sisi tunajali maendeleo ya watu, wapate chakula, nyumba za kuishi, huduma bora za afya na maji, na ajira kwa vijan, ninyi maendeleo ni kuwa na majumba marefu, Malls na matajiri wachache wenye kumiliki uchumi wote.
 
Maendeleo kwenu ni tofauti sana na kwetu, sisi tunajali maendeleo ya watu, wapate chakula, nyumba za kuishi, huduma bora za afya na maji, na ajira kwa vijan, ninyi maendeleo ni kuwa na majumba marefu, Malls na matajiri wachache wenye kumiliki uchumi wote.
Mijinga hiyo haielewagi na ndio maana imeridhika kukaa maeneo ka kibera sa mijitu ka hiyo utasema ina akili kwel???
 
What is the point of having bigger GDP but you can't feed yourselves, you can't create jobs for your people, thousands of Kenyans cross to Tanzania looking for greener pasture.

Kenyans are go getters! Even in Somalia,Kabul na Libya wako ni sembuse Tanzania!
 
Kenyans are go getters! Even in Somalia,Kabul na Libya wako ni sembuse Tanzania!
Point ninkwamba, kwanini nchi imeshindwa kutengeneza mazingira mazuri ya kuwapatia ajira wananchi wake, ambalo ndio kipimo cha ubora wa serikali, badala yake Kenya imekua ni source ya economic exiles and refugees?, it is a failed state.
 
Nimefanya kazi hapo Nairobi kama mfanyakazi wa shirika la wamarekani, ninafahamu jinsi mnavyobaguana kwa misingi ya ukabila katika sectors zote, kuanzia elimu, ajira, maeneo ya kuishi watu na hata katika nyumba za ibada, kwahiyo acha kutudangaya kwamba ubaguzi ni wakati wa uchaguzi pekee.

Kuhusu maendeleo, Tanzania ipo mbali sana na kamwe hamuwezi kuifikia tena. Kwetu tunapima maendeleo ya nchi katika mambo yafuatayo,
1)Uwezo wa wanainchi kupata lishe bora
2)Uwezo wa wananchi kuwa na makazi yenye hadhi ya kuishi binadamu
3)Uwezo wa wananchi kupata matibabu bora
4)Upatikanaji wa ajira kwa wananchi walio wengi
5)Kupungua kwa kiwango cha umasikini miongoni mwa wananchi
6)Kupunguza tofauti ya kipato kati ya masikini na tajiri

Katika hayo, onyesha ni wapi Kenya imeizidi Tanzania?. Au wewe sema maendeleo ambayo unayasema wewe ni yapi?
Nairobi ni kubwa be specific ni wapi ulifanyia wamerikani(kumbe Wewe ni kibaraka wa wazungu) kazi la sivyo hujawahi toka Tz.
 
Nimefanya kazi hapo Nairobi kama mfanyakazi wa shirika la wamarekani, ninafahamu jinsi mnavyobaguana kwa misingi ya ukabila katika sectors zote, kuanzia elimu, ajira, maeneo ya kuishi watu na hata katika nyumba za ibada, kwahiyo acha kutudangaya kwamba ubaguzi ni wakati wa uchaguzi pekee.

Kuhusu maendeleo, Tanzania ipo mbali sana na kamwe hamuwezi kuifikia tena. Kwetu tunapima maendeleo ya nchi katika mambo yafuatayo,
1)Uwezo wa wanainchi kupata lishe bora
2)Uwezo wa wananchi kuwa na makazi yenye hadhi ya kuishi binadamu
3)Uwezo wa wananchi kupata matibabu bora
4)Upatikanaji wa ajira kwa wananchi walio wengi
5)Kupungua kwa kiwango cha umasikini miongoni mwa wananchi
6)Kupunguza tofauti ya kipato kati ya masikini na tajiri

Katika hayo, onyesha ni wapi Kenya imeizidi Tanzania?. Au wewe sema maendeleo ambayo unayasema wewe ni yapi?
Tanzania iko mbali sana kimaendeleo yet mko listed kwa ldc. Look at your poor souls danganyikans. The country in front of you is Kenya, and will slways be
 
Nairobi ni kubwa be specific ni wapi ulifanyia wamerikani(kumbe Wewe ni kibaraka wa wazungu) kazi la sivyo hujawahi toka Tz.
Hata kama nilifanya kazi Kibera, hiyo ni Kenya na inawakilisha Kenya, yanayotokea Kibera yanawakilisha Kenya nzima, muhimu ni kujua kwamba, ukabila umeenea nchi nzima na upo kila sehemu, sio kweli kwamba ni wakati wa uchaguzi tu.
 
Mngekua wachapa kazi kibera ingekua imechange zaman sana ...kazi gan mnazofanya kwanza???kulima hamlimi, ajira hamna, labda kazi ya ukora hahahaha idiots
Na nyie mngekua wachapa kazi Dar es salaam haingekuwa dar us slum as it is right now. Kibera is a very small area of Nairobi ila dar yote ni slum
 
Tanzania iko mbali sana kimaendeleo yet mko listed kwa ldc. Look at your poor souls danganyikans. The country in front of you is Kenya, and will slways be
Waendelee kutunusa matako hata tukitaka kuwajambia au kuwaharia puani na midomo kwa raha zetu.
 
Point ninkwamba, kwanini nchi imeshindwa kutengeneza mazingira mazuri ya kuwapatia ajira wananchi wake, ambalo ndio kipimo cha ubora wa serikali, badala yake Kenya imekua ni source ya economic exiles and refugees?, it is a failed state.


one million plus Tanzanians are doing odd jobs in Kenya up to and including hawking.......funny how most of you here have at a time worked in Kenya ambayo mnatukana.......our companies have given 100000 jobs to Tanzanians....but being who you are you celebrate any calamity that hit Kenya......As I have always repeated...we won't bother with Tanzanians hustling in Kenyan soil.For Tanzania I think they have arrested or deported many hardworking Kenyans hustling in Tanzania.....I even got stereotyped one time enroute to mwanza by a police officer who confiscated our identity cards for 3 hours . ... .........
 
Back
Top Bottom