Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Haya basi kaka, kujieni hawa omba omba wenu wenye 'hawana akili timamu' as you have rightfully said above. We want to get rid of beggars off our streetsHiyo ni kuonyesha kwamba, nchi yenu ni hovyo, ni watu wasiokuwa na faida wala wenye akili timamu anaweza kuja huko kwenu, huku tunawapokea investors, interlrctuals na professionals kutoka Kenya and others countries, wao ndiyo wanachagua kuja Tanzania kwasababu wanajua ni nchi wanaweza kuishi na kufanya kazi, ipo na vigezo vyote vya wao kuishi, Kenya ina vigezo vya omba omba kuja kuishi huko, nchi yenyewe ni omba omba.