kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
mpaka hapo tushafunga mjadala kuhusu gharama ya bei ya vyakula nchini kwao na kwetu.Haya maisha ni magumu sana. Huwezi ukaishi kwa raha. Ndiyo maana chakula ni low quality.
Mchele kilo moja ya mchele 153 x 20= 3060. Na hiyo ni bei ya sokoni. Huku sisi sokoni unapata mchele mpaka wa 1400Tsh
