Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya maisha ni magumu sana. Huwezi ukaishi kwa raha. Ndiyo maana chakula ni low quality.
Mchele kilo moja ya mchele 153 x 20= 3060. Na hiyo ni bei ya sokoni. Huku sisi sokoni unapata mchele mpaka wa 1400Tsh
mpaka hapo tushafunga mjadala kuhusu gharama ya bei ya vyakula nchini kwao na kwetu.
 
a6fbd8e7577c690b7e7066ec77378036.jpg
4ed032316a5effcab8c894d117c83ca1.jpg
 
Haya maisha ni magumu sana. Huwezi ukaishi kwa raha. Ndiyo maana chakula ni low quality.
Mchele kilo moja ya mchele 153 x 20= 3060. Na hiyo ni bei ya sokoni. Huku sisi sokoni unapata mchele mpaka wa 1400Tsh
Me nanunua mchele in my local kiosk at 80ksh per kilo msidanganye watu hapa.....it really depends with the type of rice but there are also cheap rice here
 
Inaniuma sana kuona jirani yangu anakufa kwa njaa wakati mimi ninakula chakula na kingine kiaoza hakina mlaji
Umeshiba kijinga hata ukashindwa kutambua vipi LDC status kawaingia yani nyinyi mnaishi na instincts kama wanyama... Kuamka, kukula, kulala, kutombana, kuzaana, na hatimaye "tuta" ipiku kenya na hadidhi za ujamaa pale vijiweni.

Sisi na njaa yetu Tunaongoza Ukanda huu wa Ziwa. Ninawahurumia sana kama uongozi wenu ni mbovu kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom