Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni bongolalas tu mnashida na Dangote. 😂 😂 😂
Huyu hapa Mtoto wa Ruto anachezea ndude ya Msukuma toka Mwanza

1786191220432.png
 
Wewe mzee wa class 6.
Sijasema itakuwa ghost city. After all, mnaweza hamisha wafanyi kazi wote wa serikali kutoka Dar vumbi hadi huko.

Nimesema Makufuli city will never be a true city.

Najua you don't own a passport, lakini ungekuwa umetembea New York, and Asian cities, ungejua majengo hayafichwi nyuma ya kuta na parking.

The only way Makufuli will be a city, ni mkibomoa majengo yote mjenge afresh, with street level shopping/commercial shops etc.

Parking zinafichwa basement.
Ila kumwelewesha Mkunya ni kazi nzito sana.

Magufuli city, is not a city like Nairobi or Mombasa.

It's a government estate where you can fimd all tue government services, like ministries, etc.

It's a part of Dodoma City.

Just like,

Kenyatta's Northland city, cannot be like Nairobi.

Pumbavuuuu
 

EACOP hits 91% completion​

Ndoto ya bomba ilikufa, hata ndoto ya Refinery itakufa vivyo hivyo.
 
Doesn't matter what you say. Green places look beautiful
Hamna tofauti na nyie mnavyopenda maghorofa, mi napenda ukijani
Do you people even listen to yourselves? 🤣 🤣 The derogatory term you have for Nairobi on this thread is Naipori due to its numerous green spaces which you attribute to lack of development. It is us Kenyans who have been telling you the importance of trees in cities while you argue that trees show a lack of development while bragging about 'building density' in places like Kariakoo where trees are non-existent. Leo hii you want to turn around and start boasting about greenspaces in towns and cities? 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Wewe ni mtetezi wa Dangote? Tunampiga nyundo m Nigeria, wewe mkenya yanakuhusu?
Wala atumpigi nyundo dangote,hii ni biashara kika mtu anaangalia faida atakayoipata,dangote bado ni mshirika wetu mzuri kibiashara ila kwenye hili la oil yy kaona kwetu hakuna faida nasi tumeona nae hana faida,kila mmoja kachagua side yake itakayomfaa
 
Back
Top Bottom