Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,940
- 34,979
Hiyo ndio hali halisi,haya mengine ni wivu tu ya hawa wavuta gundi wa slums za naikunduUmeongea kikubwa
Hiyo ndio hali halisi,haya mengine ni wivu tu ya hawa wavuta gundi wa slums za naikunduUmeongea kikubwa
Here is your green space or logically green bushDo you people even listen to yourselves? 🤣 🤣 The derogatory term you have for Nairobi on this thread is Naipori due to its numerous green spaces which you attribute to lack of development. It is us Kenyans who have been telling you the importance of trees in cities while you argue that trees show a lack of development while bragging about 'building density' in places like Kariakoo where trees are non-existent. Leo hii you want to turn around and start boasting about greenspaces in towns and cities? 🤣 🤣 🤣 🤣
Nani huwa amekudanganya kuwa wewe ni mrefu! 😂😂😂Hutu tuwanaume tufupifupi ndio unaniambia bradhee? 🤣 🤣 🤣 Tumbilikimo kama Traveller D ?🤣🤣🤣 Usinifanye nicheke.🤣 🤣 🤣
Nakumbuka Dangote alikuwa anataka kitalu cha makaa ya mawe kwa bei chee huko Songea akakataliwa, kipindi kile alianza kuleta mbwembwe. Ameambiwa Nafasi yake ni kuwekeza kwenye Biashara ya Mbolea kama hataki wengine watawekeza kwenye mbolea hapo Tanga.Hiyo ndio hali halisi,haya mengine ni wivu tu ya hawa wavuta gundi wa slums za naikundu
Sisi hatuna shida wakijenga refinery yao ila nashangaa mbona wanaumia refinery kujengwa Tanga Tanzania! 😂😂😂Hiyo ndio hali halisi,haya mengine ni wivu tu ya hawa wavuta gundi wa slums za naikundu
Check kidole gumba, Maana yake yupo na kadude kama bamia 🤣 🤣 🤣Nani huwa amekudanganya kuwa wewe ni mrefu! 😂😂😂
View attachment 3646351
Nimefanya hawa kondoo hadi wame lock profile zao za Facebook. 😂😂😂Check kidole gumba, Maana yake yupo na kadude kama bamia 🤣 🤣 🤣
Mjinga Kweli jamaa ana kinyongo! Ngoja tuone kama Lamu refinery itatoboa mbele ya Tanga refinery!Nakumbuka Dangote alikuwa anataka kitalu cha makaa ya mawe kwa bei chee huko Songea akakataliwa, kipindi kile alianza kuleta mbwembwe. Ameambiwa Nafasi yake ni kuwekeza kwenye Biashara ya Mbolea kama hataki wengine watawekeza kwenye mbolea hapo Tanga.
Sahii watu wana ndoto ya refinery!EACOP hits 91% completion
Ndoto ya bomba ilikufa, hata ndoto ya Refinery itakufa vivyo hivyo.
![]()
EACOP hits 91% completion
Kampala, Uganda | URN | The construction of the 1,443-kilometre East African Crude Oil Pipeline (EACOP) has reached 91 per cent completion, bringing Uganda closer to achieving first oil production, which is expected by the end of this year. The USD 5 billion pipeline is designed to transport...www.independent.co.ug
jengeni haina issue, problem ni kila kitu huwa mnafanya ni kama ni out of spite ama juu Kenya imefanya, I have never understood your conceptSo hamtaki sisi na Uganda tujenge Tanga?
Tena sio refinery?😂😂As long as umekubali kuwa Energy Hub, inatosha. Mengine ni ziada tu.
Ila trucks zake zinapiga kazi vibaya mno songea to mtwara,ile njia zimejaa zenyewe tuNakumbuka Dangote alikuwa anataka kitalu cha makaa ya mawe kwa bei chee huko Songea akakataliwa, kipindi kile alianza kuleta mbwembwe. Ameambiwa Nafasi yake ni kuwekeza kwenye Biashara ya Mbolea kama hataki wengine watawekeza kwenye mbolea hapo Tanga.
Yani unajua hadi Kilgoris?🤣🤣😂😂Wakunyaa wako Kilgoris kushuhudia mtoto wa Kibongo akichukua kombe mbele yao..
Ng'ombe sana hawa jamaa... Mafala sana hata dada zao hawawataki.. 😅
Sahii munachukia Dangote na roho yenu yote. 😂 😂 😂Mjinga Kweli jamaa ana kinyongo! Ngoja tuone kama Lamu refinery itatoboa mbele ya Tanga refinery!
Wakenya mnasumbuliwa na Inferiority Complex mnadhani Tanzania inafanya kwa kushindana na ninyi.jengeni haina issue, problem ni kila kitu huwa mnafanya ni kama ni out of spite ama juu Kenya imefanya, I have never understoon your concept
Nikweli baada ya kukataliwa kuwa na kitalu wapokule sasa Ruvuma Coal, TanCoal, Jitegemee HoldingIla trucks zake zinapiga kazi vibaya mno songea to mtwara,ile njia zimejaa zenyewe tu
Sahii munachukia Dangote na roho yenu yote. 😂 😂 😂
View: https://x.com/Midatlblog/status/2085768108619526642?s=20
Tanga refinery gani Mr. Methuselah? Hakuna refinery inajengwa Tanga.😂😂🤣Mjinga Kweli jamaa ana kinyongo! Ngoja tuone kama Lamu refinery itatoboa mbele ya Tanga refinery!
Hata nyinyi si mlitaka kumpea akawakataa?😂😂🤣😂naskia mmempa 30 years tax holiday na Lamu coal deposits! Desperation yenyu ni ya ajabu!