Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,122
ni huzuni, india wamebaki wanamcheka dangote
View: https://www.youtube.com/watch?v=eqqVYMw6N_U&pp=ugUHEgVlbi1VUw%3D%3D
Ethiopia!
ni huzuni, india wamebaki wanamcheka dangote
View: https://www.youtube.com/watch?v=eqqVYMw6N_U&pp=ugUHEgVlbi1VUw%3D%3D
There is nothing being built in Kenya. What's in Kenya is just noise. The in Tanga is the one going to built. Kubalini mmepigwa kidole. And Dangote is still going to invest heavily in Tanzania na mtashangaa sana.Let's assume they built that 60k bpd which in reality will never happen, will it satisfy their consumption? Are they considering future consumptions as well? Ama hao wanataka Tu kujenga because there is a bigger one being built in Kenya?🤣🤣😂
Ile ilikua move ya Dangote kujaribu kuteka mradi. Akawatumia kenge wa kaskazini kujarubu kuuteka. Ikafeli vibaja na hatoweza kujenga refinery tena, maana hii ya Tanga ni ya Africa mashariki yote. Atakayojenga kenya itakuwa ya Kenya TuLeo ndio naelewa kwanini Rais alihamaki Ruto kutangaza mradi Tanga kumbe kulikuwa na makubaliano mengne ongoing na ile ilileta sintofahamu. Siku nyingine muwe mnajifunza protocol nyie chokoraa wa Kenyatta
Dangote ni mshenzi! Yaani tujenge pipeline mpska Tanga halafu refinery ikakae Lamu! Watangoja aisee!Ile ilikua move ya Dangote kujaribu kuteka mradi. Akawatumia kenge wa kaskazini kujarubu kuuteka. Ikafeli vibaja na hatoweza kujenga refinery tena, maana hii ya Tanga ni ya Africa mashariki yote. Atakayojenga kenya itakuwa ya Kenya Tu
Here was all about foreign policy changes. Tanzania alichana na mambo ya Western Sahara na kwa shukran Morocco walitakiwa kujenga huu uwanja.
Dangote alishanusa ujenzi wa refinery kati ya Tanzania na Uganda, zile kauli za kaongo alikuwa katumwa tu kutest na kuvuruga, bahati nzuri madam President alishanusa huo mchezo ndio maana akamshushua kaongo.Ile ilikua move ya Dangote kujaribu kuteka mradi. Akawatumia kenge wa kaskazini kujarubu kuuteka. Ikafeli vibaja na hatoweza kujenga refinery tena, maana hii ya Tanga ni ya Africa mashariki yote. Atakayojenga kenya itakuwa ya Kenya Tu
Unafanya mchezo kuhost AFCON kwenye kiwanja kimoja, mji mmoja na kujenga kiwanja kimoja huku Tanzania akihost AFCON kwenye miji mitatu huku akijenga viwanja vitatu vipya CAF na FIFA standard, lazima iwaume. 😂😂😂We mnuka mavi kama unataka kulia nadhani ulie tu, mimi sina cha kukusaidia.
Yani wewe hohehahe wa mabibo inaitwa Africa's richest man mshenzi? 😂😂.Dangote ni mshenzi! Yaani tujenge pipeline mpska Tanga halafu refinery ikakae Lamu! Watangoja aisee!
And then there's a list being shared here saying Tanzanians are living a better life than Egyptians! Huu Uzi iko na wazimu wengine sana 😂Egypt is really something eslse. Imagine wala hii si New Cairo, Al Alamein city. View attachment 3645808View attachment 3645809View attachment 3645810View attachment 3645811![]()
Because it's a useless document.Dangote hata MOU hajasaini na Ukunduni!
Sawa.There is nothing being built in Kenya. What's in Kenya is just noise. The in Tanga is the one going to built. Kubalini mmepigwa kidole. And Dangote is still going to invest heavily in Tanzania na mtashangaa sana.
Refinery will be in Lamu whether you like it or not 😂😂👇👇Dangote ni mshenzi! Yaani tujenge pipeline mpska Tanga halafu refinery ikakae Lamu! Watangoja aisee!
That explains how useless MoU are😂😀😂🤣Here was all about foreign policy changes. Tanzania alichana na mambo ya Western Sahara na kwa shukran Morocco walitakiwa kujenga huu uwanja.
Magufuli alipokufa hii policy iliondolewa na Morocco hawakuwa tena na sababu ya kufadhili ujenzi wake.
Leo wakati ninapost picha nilizopiga Arusha ulikuwa unalalamika eti barabara hazijawa marked. Sasa angalia hii Nairobi yenu barabara zake zilivyo
View: https://vt.tiktok.com/ZS4VUnogT/
Uzuri Tanzania will not host any important AFCON match😂😂Unafanya mchezo kuhost AFCON kwenye kiwanja kimoja, mji mmoja na kujenga kiwanja kimoja huku Tanzania akihost AFCON kwenye miji mitatu huku akijenga viwanja vitatu vipya CAF na FIFA standard, lazima iwaume. 😂😂😂
Kundustan wasione hii 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DbtKATzgNHz/?igsh=MWd1djdjd3BwNWZudA==
Dangote alishawaambia kitambo yeye hategemei hiyo pipeline ya Total na hawaskii. By the way, Dangote akitaka kununua hiyo Mafuta ya total haezinyimwa.Yani wewe hohehahe wa mabibo inaitwa Africa's richest man mshenzi? 😂😂.
How satirical!