Refinery ya Dangote ni 700K BPD ambayo itakua the 6th biggest refinery in the world, serving the continent and the world. Tanga hapajulikani panajengwa nini apart from storage tanks.Ile ilikua move ya Dangote kujaribu kuteka mradi. Akawatumia kenge wa kaskazini kujarubu kuuteka. Ikafeli vibaja na hatoweza kujenga refinery tena, maana hii ya Tanga ni ya Africa mashariki yote. Atakayojenga kenya itakuwa ya Kenya Tu