stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,195
- 33,779
Hakuna refinery inajengwa Tanga 🤣🤣😂
Utakufa kwa wivu ewe mtoto wa Mama NginaTumeambiwa wapi? Leta evidence ati ni $21B😂😂🤣🤣
Duh, hatari sana
pesa zimeandikwa Tsh 56 Trilioni mzee. Exchange rate huwa inabadilika kila siku. Maumivu ni makubwa sanaHapo imeandikwa $20B😂😂
si unajua sisi hatusubirii IPOHapo imeandikwa $20B😂😂