Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,917
- 33,165
Huyo ni Museveni?🤣🤣😂🤣
ndo wamemaliza kuongea apa inaanza next month kasema Teargass 🤣🤣🤣Construction ya Tanga Refinery inaanza lini?😂😂🤣😂
apa ni Teargass uyo 🤣🤣 btw ulisema huna anafanyaje tenaHuyo ni Museveni?🤣🤣😂🤣
atleast umeliona hilo ni mjanja sana
ndo wamemaliza kuongea apa inaanza next month kasema Teargass 🤣🤣🤣
View: https://www.tiktok.com/@thepresidencyug/video/7640931175938411784
apa ni Teargass uyo 🤣🤣 btw ulisema huna anafanyaje tena
View: https://www.instagram.com/reels/Dbuokigol8s/
sisi ndo tulimtuma dangote aende kwa m7? 🤣 🤣 🤣 🤣 muulize anasemaje kuhusu refinery mpya na alikua anategemea EACNa Samia anasemaje kuhusu Tanga refinery?😂😂🤣😂
hapana atakua anawauzia wakenya wasiende mbali watakuja apo tangaBy the way naskia watanzania wameambia ATI watakuwa wanauzia Uganda mafuta🤣🤣😂
View attachment 3645141
Uganda mtaanza kuwauzia mafuta lini?🤣😂🤣sisi ndo tulimtuma dangote aende kwa m7? 🤣 🤣 🤣 🤣 muulize anasemaje kuhusu refinery mpya na alikua anategemea EAC
Mbona sijaona Kenya ikitakwa hapa?😂😂🤣😂hapana atakua anawauzia wakenya wasiende mbali watakuja apo tanga
kuna mwingine aliwadanganya atajenga refinery ila muwepo kwenye IPO only to find out he is using the money to expand his lekki refinery, ni huzuni sanaBy the way naskia watanzania wameambia ATI watakuwa wanauzia Uganda mafuta🤣🤣😂
View attachment 3645141
Wewe nyang'au kaa kimya sasa🤣Tuambie Refinery ya Tanga ni bdp ngapi na inaanza kujengwa lini i?😂😂🤣
Ushaambiwa East africa energy empire, we andaa ela ya kuleta bongo utake usitake
Kweli?🤣🤣😂👇👇👇kuna mwingine aliwadanganya atajenga refinery ila muwepo kwenye IPO only to find out he is using the money to expand his lekki refinery, ni huzuni sana
View attachment 3645147
Hivi $21B unaziona kama vipesa vidogo sana. Hizo ni Ksh 2.730 TrillionStorage tanks.