Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So kwa akili yako unadhani MoU will light if the day faster than the one it's construction is starting this year?😂😂🤣.

Huyo Vitol ndio atagive up because by the time actual contract signing will take place already Kenyan and Ugandan refinery will be up and running.
and who told you it will start this year? arent you aware whats happening kwa dangote sasaahv?
 
Mtu akiona hii post hawezijua Museveni atakataa kutaja mambo ya Tanga refinery 😂😂🤣😂.

Mzee wetu amekaa pale juu anajisemea Tu vile hizo ni uongo🤣🤣😂
Isnt that amaizing pipe imepita kwenye uongo 😂
 
Mind you Uganda is also planning on refining their oil. So sijui hiyo yenye wanapanga kurudisha Uganda itakuwa ya KAZI gani?😂😂🤣
Wanabebwa ufala na hawaoni, huyo government spokesman wao amezoea kuropokwa hata hao wanajua. Anawashow eti wanaunda refinery Tanga na Museveni amesema inajengwa Hoima. 😂 😂
 
Wanabebwa ufala na hawaoni, huyo government spokesman wao amezoea kuropokwa hata hao wanajua. Anawashow eti wanaunda refinery Tanga na Museveni amesema inajengwa Hoima. 😂 😂
ndo tunapenda ivo, si unaona ata kuropoka kwake uganda is shipping its field oil next month
 
Back
Top Bottom