Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Are you celebrating this Mr. Kipelepele? And what is AMARII the Liker doing liking this kind of nonsense?

Pisi mbovu mna shida sana... Unanitaka!? Naona una sema tu kwa majina bila ku mention...

Ila Nini, Mimi sio pigo zangu hizoo... Nikaushie. Wewe komaa tu na maisha Yako magumu. Kama ndio ndoto Yako kutafuta Mbongo akulainishie maisha bhas wewe endelea tu na mishe hizo ila MIMI nimekatazwaaaaàaa!
 
Pisi mbovu mna shida sana... Unanitaka!? Naona una sema tu kwa majina bila ku mention...

Ila Nini, Mimi sio pigo zangu hizoo... Nikaushie. Wewe komaa tu na maisha Yako magumu. Kama ndio ndoto Yako kutafuta Mbongo akulainishie maisha bhas wewe endelea tu na mishe hizo ila MIMI nimekatazwaaaaàaa!
😂 😂 itakua kakosa watu kwenye slums
 
sidhan ata kama mwezi zmefikisha izi cabros
1785779669851.png

1785779715628.png
 
Back
Top Bottom