Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona sioni cha maana hapo wee mtoto wa shule?
Huoni barabara zinajengwa kwenye neighborhood
Nakuelewesha kuwa barabara zinajengwa baada ya neighborhood kukua kwa sababu you can't predict ni wapi Watz watajenga kwa wingi.

Kwani ulikuwa unaulizia maajabu au barabara, una matatizo ya akili we mzee 😂😂
 
They no problem with the design becasue they thought it would never be built. Now it's almost complete, they suddenly don't like the design.🤣 🤣
Hiyo design ni mbaya. Tulishaona kitambo since uwanja haujakamilika
Other than being big, it looks ugly
 
Mr. Baboon, nimekupea a very easy task. List all the buildings over 20 floors under construction in Dar uweke hapa, sio kutuwekea vijumba viwili vya 20 floors unataka tukupigie makofi wakati kwetu kunajenga jumba la 60 floors.
Leo hiki kichaka chako nakifyeka nakuandania list kalii kaa kwa kutulia hapo.
 
mkimaliza apo mnazifua mnaingia nazo uwanjan 😂 the only team without a training kit
1785770494204.png
 
I remember they sang Avic for 3 straight months. Hatukupua hapa … now suddenly sio mzuri kwao juu there are no buyers . I don’t know about my fellow Kenyans but I only get engaged here for entertainment purposes only . It’s fun dealing with indoctrinated fools . You learn alot.. 🤣🤣🤣🤣🤣
Umenikumbusha Avic Town by the way 🤣🤣🤣. What came of it ama wanunuzi walikosekana mchinku akakula huu?🤣🤣
 
Mwenzako ananiambia nimepost remda na wewe unapost renda.? 😂😂😂. Ooh oky au nikwasababu vitu za Tz zinamuuma kama nimemtia kidole.?
Nimeleta render ya such a massive complex already under excavation, unaleta render ya kibanda ata hakijaanza kujengwa? 😂
 
Back
Top Bottom