Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You're deluded but let me let you wallow in your delusions.

Wewe ndio huna hoja ju unaropokwa vitu bila evidence.
Nadhani mnanijua kama mimi si mtu wa maneno matupu, na najua pia mmeshahakiki nilichosema. Kwahiyo ni uoga na kujikaza tu. 😂😂😂 kama mnayaweza tushukeni ground. Google earth ipo.
 
Nadhani mnanijua kama mimi si mtu wa maneno matupu, na najua pia mmeshahakiki nilichosema. Kwahiyo ni uoga na kujikaza tu. 😂😂😂 kama mnayaweza tushukeni ground. Google earth ipo.
Tumia hiyo Google Earth Mwenyewe uweke hapa.
 
Watanzania wanaingia West Africa kwa kasi. Muda utaongea tu. Mpaka ifike 2030 kitakuwa kimeanza kueleweka

1785609559838.png
 
Hizi hapa projects mpya, they been launched recently. 20+ storeys buildings.
All are of them in Upanga. Grand sultanate JupiView attachment 3641448Grand Sultanate mercury 22 floors 👇🏾View attachment 3641450SAFIRA living 👇🏾 21 floors View attachment 3641453View attachment 3641452
Hii hapo yote ni mira mipya ya over 20 floors at Upanga.
Hizi ni za less than 20 floors.
Kariakoo 👇🏾 Grand sultanate Venus 18 floors View attachment 3641454upanga 👇🏾 17 floors View attachment 3641455upanga 15 floors 👇🏾View attachment 3641456hii ni miradi nilioiona mwezi wa saba. NairobiWalker usiseme hujaambiwa. Mjuze na yule mnuka mavi. 😂😂😂
 
😂😂 nimetoka kuiona ticktock sasa hivi nimemaliza ku copy link niitupie humu nimekuta umeshaiweka. Wewe ndio uli record nini.?

Anyways masaki is now a construction site. Ni gorofa zinamea every day. 👇🏾
View: https://vt.tiktok.com/ZS4BSXmA2/.

Hapana sio mimi ni mzungu alirekodi analalamika kelele za wakati wa ujenzi. 😂😂😂

RRONDO aliwahi kuwaambia just because mnajenga maghorofa msidhani na sisi hatujengi.
 
Mjomba unalazimisha mambo ili walau upate furaha lakini hupati kwasababu unajua unajidanganya. 😂😂😂. Majukwaa yote yatafungwa VIP seats zenye ni foldable. Tufauti yao ni kwamba eneo la chini kabisa la hili jukwaa ndio lifungwa foldable seats na linaonekana hapo vizuri likiwa wazi.. na katikati ambapo patawekwa presidential appearance 👇🏾View attachment 3641004na jukwaa hili 👇🏾 linaonekana wazi kabisa eneo ambalo seats hazijafungwa kabisa 👇🏾View attachment 3641019halafu issue ni kwamba skyboxes zipo kila upande. 😂😂😂.

Kama utaamua kulia ulie au unye boga
So unataka kutuaminisha kabisa kwamba hilo eneo la chini kabisa (lower terrace) ndio eneo la VIP? 🤣🤣

I have never seen a stadium that has VIP section on the lower terraces. Hii yenu itakuwa ya kwanza
 
Back
Top Bottom