Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1785580525439.png


designer alikua vert attentive to details, looks modern and classy
 
Hilo eneo kwenye video ya Goba sio gated neighborhood na ni 25km from the city centre. Hii ndio namna ya ujenzi wa nyumba Tanzania, unatafuta hela unanunua kiwanja unajenga, it's that simple ndio maana sisi citizens wa Tz wengi wanakuwa na uwezo wa kujenga nyumba nzuri. Neighborhoods zetu ziko mixed, watu wa uchumi tofauti tofauti, maduka hapohapo, shule hapohapo, supermarkets hapohapo kila biashara ipo kwenye neighborhood na ndio sehemu inakuwa alive na Watanzania wanapata opportunity za kufungua biashara kwenye hizo neighborhoods wakati zinakua

Hii system ya ku separate neighborhood, kujenga mbali na biashara, kujenga nyumba identical na kuzipanga kwenye grid system sio nzuri. Ndio same system wametumia USA sasahivi kila mtu analalamika how depressing the suburbs have become.
Kwanza hakuna diversity kwenye design ya majengo, pili unakuwa mbali na basic services, hata kununua mkate unapaswa uende na gari, very car dependent neighborhoods, tatu hizo neighborhoods haziongezi fursa ya biashara zinaoperate in strict rules, nne mnazidi kuleta ugumu kwa wananchi wa kawaida kumiliki nyumba maeneo mazuri wanakosa motivation ya kujenga nyumba nzuri ndio maana mko na slums nyingi Kenya

I'd rather live in lively neighborhoods of Dar es Salaam than those depressing nightmares you're building in Nairobi
Hii essay yote kutetea your ugly architecture and ugly vumbi neighborhoods.
Unadhani Nairobi haina hizo. Tofauti ni ati ata uncontrolled neighborhoods zetu ziko na lami, na ziko na urban planning.
Mtu anajenga chenye anataka lakini amenities ziko.

LDC kaa lane yako.


View: https://www.youtube.com/watch?v=ZO4oRr6QROY
 
Hii essay yote kutetea your ugly architecture and ugly vumbi neighborhoods.
Unadhani Nairobi haina hizo. Tofauti ni ati ata uncontrolled neighborhoods zetu ziko na lami, na ziko na urban planning.
Mtu anajenga chenye anataka lakini amenities ziko.

LDC kaa lane yako.


View: https://www.youtube.com/watch?v=ZO4oRr6QROY

but why are you guys not happy with uganda taking the open match, shida nn wazungu weusi 😂
 
Hii essay yote kutetea your ugly architecture and ugly vumbi neighborhoods.
Unadhani Nairobi haina hizo. Tofauti ni ati ata uncontrolled neighborhoods zetu ziko na lami, na ziko na urban planning.
Mtu anajenga chenye anataka lakini amenities ziko.

LDC kaa lane yako.


View: https://www.youtube.com/watch?v=ZO4oRr6QROY

Goba is beautiful and we like it that way
Hatutaki Gated communities, zitafanya owning house iwe expensive na itapush Watanzania kuishi kwenye slum mwisho wa siku Dar itakuja iwe kama Nairobi yenu, ilivyojaa slums. Hatutaki 🚮
 
Goba is beautiful and we like it that way
Hatutaki Gated communities, zitafanya owning house iwe expensive na itapush Watanzania kuishi kwenye slum mwisho wa siku Dar itakuja iwe kama Nairobi yenu, ilivyojaa slums. Hatutaki 🚮
Ungekuwa na bundles ungeona hio video si gated community. LDC wewe.
Still 100 times better planned than that ugly Goba.
 
Ungekuwa na bundles ungeona hio video si gated community. LDC wewe.
Still 100 times better planned than that ugly Goba.
Kenya is even worse than LDC, uko hapa unaita Tz LDC na nchi yenu iko na maeneo worse than Sudan
Goba is beautiful na najua unaumia kuona how fast Goba is growing. I know umepapenda Goba
 
Kenya is even worse than LDC, uko hapa unaita Tz LDC na nchi yenu iko na maeneo worse than Sudan
Goba is beautiful na najua unaumia kuona how fast Goba is growing. I know umepapenda Goba
Mimi niumwe juu ya Goba?
Unadhani naishi Tandale kama wewe. Ata unilipe siwezi ishi pahali kumejaa vumbi na matope kama huko.

Simba hajishughlishi na ujinga wa mende.
 
Back
Top Bottom