Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uku kote bado westlands
1785323521245.png


Yaani in comparison we are talking of this
1785323552363.png
 
Wewe nishakuambia ni maskini na hata nusu huwezi fikia , the last time nimekuoa challenge tu ya business ukachemka , hata passport yenye muhuri mmoja ukachemka, njaa zinawasumbua, 🤣🤣🤣🤣
Sasa kama bado unategemea kuwekeza kwenye saccos ndo utoke utajua biashara lini , njoo mfundishwe biashara muachane na njaa , north eastern Kenya kuna fursa kibao wachina wanaenda kuziina mmekalia kulialia njaa na ruto.
Mtaendelea kujilinganisha na tz wakati wenzenu daily wamove kwa spidi kubwa.
,🤣🤣🤣🤣
If you can't calculate balance sheet properly, how can you know anything about business?
 
Zinahusiana na quality of education, by the way your Mbeya is not among top 50 Universities in East Africa 😂😂
Unaona ulivyo fala. Sasa Tanzania Engineers wanatoka MUST, DIT na ATC. Sisi chuo chetu hata kwenye IPT hatuhangaiki kutafuta cause taasisi nyingi zinatuamini, huwa wanakuja kwa wingi kutoa nafasi.
Tuna lecturers wa kutosha, vifaa vya kutosha na watu wanapata skills hadi chuo kinaheshimika kwa course za Engineering, why should we care kuwepo kwenye hizo list?
 
Just answer my question please, you didn't step into any university, what level of failure should I put you if the normal failures are going to study in India, China and Kenya.😂🤣🤣
Zile piche zangu za utoto unazopostigi humu zile ni TBTs nikiwa University. Hopefully wewe ni shabiki yangu mzuri tembelea ukurasa wangu wa instagram wa zamani usome locations za zile picha. 😂😂😂
 
Unaona ulivyo fala. Sasa Tanzania Engineers wanatoka MUST, DIT na ATC. Sisi chuo chetu hata kwenye IPT hatuhangaiki kutafuta cause taasisi nyingi zinatuamini, huwa wanakuja kwa wingi kutoa nafasi.
Tuna lecturers wa kutosha, vifaa vya kutosha na watu wanapata skills hadi chuo kinaheshimika kwa course za Engineering, why should we care kuwepo kwenye hizo list?
Good engineering school should appear here. Unfortunately non from Tanzania is here😂

1000350176.jpg
 
Zile piche zangu za utoto unazopostigi humu zile ni TBTs nikiwa University. Hopefully wewe ni shabiki yangu mzuri tembelea ukurasa wangu wa instagram wa zamani usome locations za zile picha. 😂😂😂
University gani? Ulisomea nini? Hakuna University yoyote you attended.

Let's take example with me;

University: The University of Nairobi
Course: Microbiology and Biotechnology
Career: Laboratory Analyst in a Pharmaceutical Manufacturing Company.

Sasa tell us the name of your university, your course etc.
 
Back
Top Bottom